Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Mambo ya Katunzi lol.
Leo nimeona picha zao. Dai na Zari they look good together
Warumi nilikuwa naimba humu kuhusu katunzi nikaonekana kichaa, khaa kiko wapi
Sweetheart, huyu Madam Wema atakutia uchizi bure.. mimba iwe ya mpendwa wako Chibu, Ivan, Katunzi, au hata kama iwe mpwa warumi nae alichovya kwa Zari na kumtia kile kitumbo, bado uhalisia utabaki pale pale kwamba Madam Wema Issack Sepetu ameshaachika!!! Avute tu pumzi labda atarejewa lakini kwa sasa.... aaaaaargh!
Ngoja aje mzurimie ......
Huwa anasemaje
Mpwa bhana, mchana nilikuuliza huu ulimbukeni ulianza lini; hukunipa jibu! Swali langu lingine, hivi huu ushamba mpwa wangu umeanza lini manake wajanja wote wanafahamu kwamba pale Instagram, mtu unaweza ku-post chochote!! Hata wewe unaweza ku-post kwamba Jide sio mgumba na ulishawahi kumtandika mimba lakini akaitoa!!!Yaani hadi unampa matumaini my sweetheart angu Heaven on Earth!! Hivi hapo cha ajabu kwangu nini wakati hata wewe unaweza kuandika kilichoandikwa tena na zaidi ya hapo kisha uka-post instagram!!! Mwandishi mwenyewe, muke ya muganda... yule yule ambae alipewa dongo moja tu kwamba ni housegirl akaanza matusi siku mzima!!!
Haaaaaa baby mbona mie Nilishakubal kuwa Madam hana chake pale..
Jamani hii sasa ni too much, vyovyote iwavyo mama ndio anayejuwa biological father wa mtoto, pamoja na uswahiliuswahili wa Diamond ni vyema private bizines zake tumuachie mwenyewe na yeye ni binadamu maneno kama haya yanaumiza bado mdogo yule jamani kuhimili misukosuko ya duniani.
Hanaga utani kwenye maswala ya domo....
Ataandika gazeti kumtetea...
Mziki wake mtauwezaaaa? Nyie mchokozeni le bilionea tu
Angilia hii
Hello, hakuna ndugu nipo poa tu. Hadi naambiwaga nipo kwenye mgmt timu ya D. Mbavu zangu maana wanakubali yashukayo
Nimeiona.Ila sio breaking news.
Mhuu!
Yani mami huwa unashusha migazeti wengine huwa twajipitia tu.
Ila kwenye umbea wetu mwingine huwa nasoma kwa kweli maana huwa unakuwa katika senses zako, sio zile za kilevi levi na ushabiki.
Alafu umri wao pia unaendana.
Ila Katunzi ni mume wa mtu
Wema ndio alimuacha Diamond kwa kumpa likizo au alikuwa anatishia kujamba wakati ana tumbo la kuhara? Au alikuwa anajaribu kama ndumba zake bado zina nguvu?