Diamond akataa hela ya Wema stejini...


we mala.ya acha dharau
 
Watu bana....eti Uswahili! Acheni zenu hizo...uswahili ndiyo kitu gani? Na kinyume cha uswahili ni nini? Uzungu? Acheni kushoboka shoboka...hakuna cha uswahili wala nini.
 
Jaribuni san akuangalia mchezo mzima ulivyofanyika , kuanzia Wema , Diamond na Jokate wote ni wajinga kichwani.Wema kwenda kumtunza Diamond kama angepokea angekufa ama?? Na kwa nini alipozikataa Jokate na Sinta waliuwa wanashangilia? Nilikuwa namwona Jokate wa maana lakini wote ni wale wale hamnazo.Kwanza kwa siku ile Wema alikuwa kajishusha na kaonesha ustaarabu sana..Kumbukeni waliokuja pale kunawaliopendezwa na kitendo kile na kuna ambao hawakupendezwa na kile kitendo..Imagine Jokate anafurahia BF wake(DIAMOND) anafomfanyia GF wake wa zamani (WEMA) ukiona mwenzako ananyolewana wewe tia maji . Wanaboa sana mpaka hata show zenyewe mtu hatakuwa haji. Naombeni nyie wadada wawili Jokate na Wema mjirekebishe..Bora Wema anaonesha tabia yake wazi na unaweza hata kumshauri kuliko Jokate ni Silent burner anajifanya mtakatifu. Hukitoa pesa uyo Diamond ni nini kweli?? Ebu nyie wadada tafuteni size zenu
 

kwenye red usirudie tena kutaka kujua hususani pale demu anapopenda!
pia kwa taarifa yako tu si kweli kama diamond ana pesa kama unavyotaka kusema!pia ujue kuhonga ni tabia na diamond hana hiyo tabia na wala uwezo huo wa kushindana kuhonga na wazee wa njaa hapa mjini diamond hana!kuhonga ni kujitolea na diamond hawezi kuwa na uthubutu wa kuhonga gari wala kumkodia demu nyumba ya maana, ana hela zinazomsaidia yeye!kwa hao watoto kina wema na jokate ni nyota tu imemng'alia mnyamwezi kwani ndo anamek headline kwa sasa!it's his time acha awape ndizi tu hao viumbe!
 
Muziki wake...Hilo ndilo lilokuwa relevant at that point and time na syo kwasababu ya mapenzi yao.Dogo kaingiza mapenzi sehemu isiyotakiwa.

wewe ndio ulivyoona hivyo, ukiambiwa alimka ili andikwe zaidi na magazeti ya udaku utabisha?? au All in all mwanamke lazima uwe na soni angalau kidogo we una bifu na mtu, unapata ujasiri gani wa kumka kwenda kumpongeza?? ni lazima kujua alama za nyakati jmushi.
 
acha ile kwake, hivi hawa vijana wamelogwa kila siku magazeti
 
Du, mapenzi bwana we acha tu, wakati jana ilikuwa vile leo imekuwa hivi! Ila kiukweli haijatulia kwa Diamond kufanya vile.
 
Mkuu unajipigia pasi ama? Yani unapiga kona, kisha unaiwahi na unapiga bao mwenyewe?lol!

Vip bana kuhsu ile ishu?

mzee ukitaka kunukia, kaa karibu na waridi!!!!hapa maisha club kuna kaparty ka wema nahisi anataka kutambulisha nyimbo yake mpya!aisee huyu demu anababaikiwa na mademu wenzake yaani hapa mizigo ya kufa mtu!nadhani match ya barca ikiisha umati wa coco utahamia hapa!madem wengi magari machache kama una usafiri hapa na wallet imetuna haya sura huuzi sana ni kuchagua tu!
 
Hahaha
 
Jamaa yuko busy na kuimba pamoja na kucheza..
watu wanaweka fedha chini... ili kumuumbua tu dada wa
watu ikabidi waongeze chumvi eti kakataa. Wa Bongo bana..

Kuna mtu anauhakika Diamond alirudisha hiyo fedha kwa Wema?
 
Sasa Kijana kabla ya kulaumu wengine kwa ufukara wako jiulize 2012 wakati huyu msanii anakataa kutunzwa wewe ulikuwa wapi? Unafanya nini? Na sasa huyu yupo wapi na ana tofauti gani na wewe?
 
Acha amdengulie! Kazidi huyu dada sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…