Diamond ni uswahili unamsumbua. tofauti zao zinahusika vipi kwenye tamasha lake? Wema kamtunza kama shabiki aliyeguswa na nyimbo zake, kama alivyotunzwa na wengine, iweje akatae mbele ya kadamnasi jamani. Kumtoa mtu tandale halafu utegemee atakua kama alokulia Mikocheni na kusoma Laureatte International ni vitu viwili tofauti. Kajidhalilisha yeye wala si Wema.
Jaribuni san akuangalia mchezo mzima ulivyofanyika , kuanzia Wema , Diamond na Jokate wote ni wajinga kichwani.Wema kwenda kumtunza Diamond kama angepokea angekufa ama?? Na kwa nini alipozikataa Jokate na Sinta waliuwa wanashangilia? Nilikuwa namwona Jokate wa maana lakini wote ni wale wale hamnazo.Kwanza kwa siku ile Wema alikuwa kajishusha na kaonesha ustaarabu sana..Kumbukeni waliokuja pale kunawaliopendezwa na kitendo kile na kuna ambao hawakupendezwa na kile kitendo..Imagine Jokate anafurahia BF wake(DIAMOND) anafomfanyia GF wake wa zamani (WEMA) ukiona mwenzako ananyolewana wewe tia maji . Wanaboa sana mpaka hata show zenyewe mtu hatakuwa haji. Naombeni nyie wadada wawili Jokate na Wema mjirekebishe..Bora Wema anaonesha tabia yake wazi na unaweza hata kumshauri kuliko Jokate ni Silent burner anajifanya mtakatifu. Hukitoa pesa uyo Diamond ni nini kweli?? Ebu nyie wadada tafuteni size zenu
Muziki wake...Hilo ndilo lilokuwa relevant at that point and time na syo kwasababu ya mapenzi yao.Dogo kaingiza mapenzi sehemu isiyotakiwa.
we mala.ya acha dharau
Mkuu unajipigia pasi ama? Yani unapiga kona, kisha unaiwahi na unapiga bao mwenyewe?lol!
Vip bana kuhsu ile ishu?
AseeeCheck:
...Diamond aliendelea kuwajibika huku Wema akijaribu kumbembeleza
Pesa alizokataa kuzichukua zikiwa zimetupwa
Hahahamzee ukitaka kunukia, kaa karibu na waridi!!!!hapa maisha club kuna kaparty ka wema nahisi anataka kutambulisha nyimbo yake mpya!aisee huyu demu anababaikiwa na mademu wenzake yaani hapa mizigo ya kufa mtu!nadhani match ya barca ikiisha umati wa coco utahamia hapa!madem wengi magari machache kama una usafiri hapa na wallet imetuna haya sura huuzi sana ni kuchagua tu!
pema usijapo pema ukipema si pema tena
Shut upTherefore!!....
Jamaa yuko busy na kuimba pamoja na kucheza..
watu wanaweka fedha chini... ili kumuumbua tu dada wa
watu ikabidi waongeze chumvi eti kakataa. Wa Bongo bana..
Kuna mtu anauhakika Diamond alirudisha hiyo fedha kwa Wema?
...Safi sana
...Utata ulianzia hapa pale Dimond alishuka stejini na kwenda kwenye meza waliokuwa wamekaa akina Steve Nyerere na Mboni Masimba na ndipo alipopewa t-shirt ambayo kwa mujibu wa udadisi na uchunguzi wa udadavuzi wa mambo wa Kajuna Blog, ilisemekana kuwa t-shirt hiyo ilikuwa inapicha ya mwanadada ambaye alikuwa akitoa na Diamond kwa sasa. Na ilikuwa ni maalum kwa ajili ya kumrusha roho Wema Sepetu.
...Mwanadada Mboni Masimba akimkabidhi Diamond t-shirt huku Steve Nyerere akimtunza, vile vile alichukua t-shirt aliyopewa na kuipeleka kwa mwanadada Jokate Mwegelo.
...Hapa akikabidhiwa t-shirt na kupewa maelekezo mahali pa kuipeleka.
...Baada ya hapo kumaliza lile movie la kwanza aliendelea na kupita katika meza mbali mbali huku akiwasalimia wageni waalikwa.
...Akiimba
...Diamond aliendelea kuimba huku mwanadada huyo akimtunza huku akitoa tabasamu na kicheko
Mwadada huyo hapa alikuwa amemaliza na kuondoka kwa mikogo..
Baada ya Diamond kurudi stejini ndipo mwanadada Wema Sepetu alienda kumtuza na pesa zake kukataliwa. Wema alikaa akimbembeleza kwa muda wa dakika 10 japo zoezi lake halikufanikiwa.
...Diamond aliendelea kuwajibika huku Wema akijaribu kumbembeleza
...Bembeleza, bembeleza na wewe jamaa ndiyo aliendelea kuwajibika
...Ndipo alipochukia na kuzitupia hizo hela stejini huku akiondoka huku akiwa amenuna
...Shamim Mwasha akilaumu kitendo alichokifanya Diamond cha kukataa hela alizoenda kutuzwa na Wema..
Acha amdengulie! Kazidi huyu dada sasa!
ExactlySasa Kijana kabla ya kulaumu wengine kwa ufukara wako jiulize 2012 wakati huyu msanii anakataa kutunzwa wewe ulikuwa wapi? Unafanya nini? Na sasa huyu yupo wapi na ana tofauti gani na wewe?