Nilikuwa na mzigo pale DHL lakini tumefuatilia mpaka tumeona bora tuuache wachukue wao. Je kuna wadau wengine mmekutana na usumbufu mkubwa namna hii pale DHL Dar?
Kwenye mtandao mzigo unaonekana umefika Dar lakini wao kila kukicha wanasema subiri tutakupigia. Isitoshe hata hilo jibu la tutakupigia haulipati kwa ustaarabu. Kuna poor customer service
Kwenye mtandao mzigo unaonekana umefika Dar lakini wao kila kukicha wanasema subiri tutakupigia. Isitoshe hata hilo jibu la tutakupigia haulipati kwa ustaarabu. Kuna poor customer service
Wajinga sana hao jamaa..i had the same experience nao lakini nashukuru kupiga piga simu kuulizia kahahasha kangu toka be forward nikaopoa bonge la demu ..wakati nasubiri mzigo iwe cleared tukawa tunapakazana gundi pale transit lodge na sasa vichefuchefu vimemzidi tunasubiri offspring F1 generation
DHL wameshakuwa kama posta tu siku hizi. Kuna kampuni nyingi tu, mimi natumia Send Well. Google utawapata, cheap and very convenient. Wananisaidia pia delivery kwenye biashara kufikia loyal customers.
Kwenye mtandao mzigo unaonekana umefika Dar lakini wao kila kukicha wanasema subiri tutakupigia. Isitoshe hata hilo jibu la tutakupigia haulipati kwa ustaarabu. Kuna poor customer service
Wajinga sana hao jamaa..i had the same experience nao lakini nashukuru kupiga piga simu kuulizia kahahasha kangu toka be forward nikaopoa bonge la demu ..wakati nasubiri mzigo iwe cleared tukawa tunapakazana gundi pale transit lodge na sasa vichefuchefu vimemzidi tunasubiri offspring F1 generation
Wajinga sana hao jamaa..i had the same experience nao lakini nashukuru kupiga piga simu kuulizia kahahasha kangu toka be forward nikaopoa bonge la demu ..wakati nasubiri mzigo iwe cleared tukawa tunapakazana gundi pale transit lodge na sasa vichefuchefu vimemzidi tunasubiri offspring F1 generation
DHL wameshakuwa kama posta tu siku hizi. Kuna kampuni nyingi tu, mimi natumia Send Well. Google utawapata, cheap and very convenient. Wananisaidia pia delivery kwenye biashara kufikia loyal customers.
Ila dhl nmewatumia mwaka Jana mwishoni walifikisha tu vizuri,labda ni aina ya mizigo ndo wanaifanyia wizi.labda mingine wanaona haina haja ya kuiiba,mfano madocument.
Nilikuwa na mzigo pale DHL lakini tumefuatilia mpaka tumeona bora tuuache wachukue wao. Je kuna wadau wengine mmekutana na usumbufu mkubwa namna hii pale DHL Dar?