Dharau za Zuku in mbaya sana

Dharau za Zuku in mbaya sana

Delegate

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
331
Reaction score
203
Ndugu zangu nilijiunga zuku na kununua kingamuzi nikidhani wanafaa kama wanavyojitangaz,kwa kweli huduma zao ni mbovu na zimejaa madharau,wakenya wanaofanya kazi ya customer care hawajui kuongea na Wateja vizuri,Leo ni siku ya NNE tumelipia kila tukipiga ili watuunganihe tunaishia hewani hawapatikani,simu zinakatwa tunazungushwa na hatujui sababu,naombeni ushauri tufanye nini huu ni uhuni usiovumilika.
 
Ndugu zangu nilijiunga zuku na kununua kingamuzi nikidhani wanafaa kama wanavyojitangaz,kwa kweli huduma zao ni mbovu na zimejaa madharau,wakenya wanaofanya kazi ya customer care hawajui kuongea na Wateja vizuri,Leo ni siku ya NNE tumelipia kila tukipiga ili watuunganihe tunaishia hewani hawapatikani,simu zinakatwa tunazungushwa na hatujui sababu,naombeni ushauri tufanye nini huu ni uhuni usiovumilika.
Kitupe haraka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom