Dhana ya mfumo na mabadiliko

Dhana ya mfumo na mabadiliko

nyoka wa makengeza

Senior Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
114
Reaction score
21
Watanzania tusihadaike hatuna tatizo kubwa la kimfumo,tuna tatizo la ufisadi,kukosekana kwa uwajibikaji na utashi wa kiongozi mkuu,hivyo tunahitaji kiongozi anayechukia ufisadi na mwenye kuwakemea watu wakaufyata,aidha lazima awe mchapakazi,mfuatiliaji na mwadilifu hivyo tuache mihemko
 
Back
Top Bottom