Wanajukwaa kuna hii dhana ya mafiga matatu ambayo imekuwa ikisikikasikika. Na imekuwa ikisemekana wakati mwingine inazungumziwa hata kwenye mazungumzo official kama kitchen parts ambapo mhusika huusiwa kwamba ili nyumba iwe stable haiwezekani unless yawepo mafiga matatu.
Kulingana na wadau kadhaa ambao nimefanyiana nao mahojiano wanasema msisitizo unatolewa kwa wahusika,kuwa chungu hakiwezi kuivisha pasi na mafiga matatu. Binti anapokuwa anaolewa it's said dat Maza awezampa hii siri mwanae.
MAMA: Mwanangu unaolewa lakini nina neno dogo kwako.
BINTI: Niambie mama
MAMA: Binti yangu huko uendako ishi vyema na watu, mheshimu mumeo ndugu na marafikize lakini pia kuna kitu cha msingi nataka nikugusie mwanangu!
BINTI: Nakuskiliza mama
MAMA: Mwanangu Katika harakati zako kumbuka figa moja haliivishi chakula
Binti: Unamaanisha nini mama
MAMA: Mwanangu mwanaume mmoja hakidhi
Binti: Mmmmmh mbona mama skuelewi.
Mama Mwanangu Ipo siku utakujaelewa ninachokueleza
Binti:🥱
Kama ni kweli binti aweza usiwa haya kwenye official occasion, na official personnel Hivi kweli hii haiwezi chochea kutokuwepo uaminifu kwenye ndoa.
Kulingana na wadau kadhaa ambao nimefanyiana nao mahojiano wanasema msisitizo unatolewa kwa wahusika,kuwa chungu hakiwezi kuivisha pasi na mafiga matatu. Binti anapokuwa anaolewa it's said dat Maza awezampa hii siri mwanae.
MAMA: Mwanangu unaolewa lakini nina neno dogo kwako.
BINTI: Niambie mama
MAMA: Binti yangu huko uendako ishi vyema na watu, mheshimu mumeo ndugu na marafikize lakini pia kuna kitu cha msingi nataka nikugusie mwanangu!
BINTI: Nakuskiliza mama
MAMA: Mwanangu Katika harakati zako kumbuka figa moja haliivishi chakula
Binti: Unamaanisha nini mama
MAMA: Mwanangu mwanaume mmoja hakidhi
Binti: Mmmmmh mbona mama skuelewi.
Mama Mwanangu Ipo siku utakujaelewa ninachokueleza
Binti:🥱
Kama ni kweli binti aweza usiwa haya kwenye official occasion, na official personnel Hivi kweli hii haiwezi chochea kutokuwepo uaminifu kwenye ndoa.