Dhambi Kubwa ni ipi?

mogulnoise

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
2,434
5,535
Nisiwachoshe wana jamvi nataka naingie direct kuelezea nini kilichomsibu Adam na Hawa kule Eden hii ni kwa majibu wa kitabu cha biblia

Tunajua kuwa nyoka alichofanya ni udanganyifu na Mungu alichukizwa na uongo wa shetani pia na kitendo cha Hawa na Adam kudanganyika


Kufupisha maneno zambi kuu ni uongo coz ndio zambi iliyotoa hukumu ya papo kwa hapo mfano hata Anania alidanganya pale alipouza shamba akabana ela alikufa hata mke wake alipodanganya tu alikufa

Sitaki kujikita kisayansi lakini nao wanakubali kuwa uongo unacost sana ubongo kuliko ukweli

Ushauri jitahidi sana katika maisha yako ukimbie uongo kuanzia ule mzazi anaahidi kumletea mtoto zawadi huku akijua ni uongo

Hata serekali iseme ukweli si maneno tu msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
Dhambi kubwa ni KIBURI kwani haina mzizi, na hiyo ndiyo iliyofanywa na ibilisi kwa mara ya kwanza.Hapo ndipo penye source ya dhambi zote
 
Dhambi ni kosa la mtu kuvunja kusudi amri za mungu. Kwa kuwaza kutenda na kunena. Hamna dhambi kubwa wala ndogo. Amri ya kwanza duniani ni hii. usile tunda la mti wa katikati Adam na Hawa/Evah waliesabiwa dhambi kwa kula matunda la mti wa katikati. Adhabu yake ilikuwa ni kifo.

MUNGU alifanya makosa kwa kubadi adhabu ya kifo kuwa hii inayotutesa sana sisi tusioenda shule. Hamna adhabu ngumu kama hii. kwa kasa lako Adam ardhi imelaaniwa "UTAKULA KWA JASHO".

In short hsmna dhambi kubwa wala ndogo. Makosa yoote ni machukiza kwa mwenye enzi mkuu Mungu.
 
Dhambi kubwa ni kuishabikia ccm na JUMA PUMBA MAHARAGWE wakati unajua miaka 50+ tokea uhuru hajafanya kitu cha maana.
 
Hii dhambi iliofanywa. Ilifanywa na adam na hawa au aliifanya shetani? Kwa hapa hukumu alipata adam na hawa au sheittani naomba nifungue kidogo kakaa.
 
Hii dhambi iliofanywa. Ilifanywa na adam na hawa au aliifanya shetani? Kwa hapa hukumu alipata adam na hawa au sheittani naomba nifungue kidogo kakaa.
Babu twende kivitendo zaidi kuliko nadharia kilichofanyika pale ni nyoka kumdanganya Hawa

Hawa alipodanganyika akamdanganya Adam ndio maana God alimaliza Adam nani kakwambia uko uchi msingi wa swali ilo ni kwa nini umedanganyika nilikwambia usile wewe umekula

Hapo hapo God akatangaza hukumu ukiangalia Anania vile vile alipodanganya Roho wa Mungu naye akapata hukumu ya hapo kwa hapo

Ukifanya hitimisho utajua Mungu anachukizwa sana na UONGO kuliko hizi dhambi nyingine

Mfano wakati wa sodoma na gomora Mungu alichukua muda kutekeleza hukumu watu walizini sana ndio wakateketezwa tofauti na waliomdanganya au kudanganyika
 
Kimkufuru roho mtakatifu
Anania alimdanganya Roho wa Mungu akafa pale pale

Kumkufuru Roho Mtakatifu ni sawa hata YESU alisema but wako wengi wamemkufuru huyo Roho bt hawakupata hukumu ya papo hapo
 
Dhambi ni kosa la mtu kuvunja kusudi amri za mungu. Kwa kuwaza kutenda na kunena. Hamna dhambi kubwa wala ndogo. Amri ya kwanza duniani ni hii. usile tunda la mti wa katikati Adam na Hawa/Evah waliesabiwa dhambi kwa kula matunda la mti wa katikati. Adhabu yake ilikuwa ni kifo.

MUNGU alifanya makosa kwa kubadi adhabu ya kifo kuwa hii inayotutesa sana sisi tusioenda shule. Hamna adhabu ngumu kama hii. kwa kasa lako Adam ardhi imelaaniwa "UTAKULA KWA JASHO".

In short hsmna dhambi kubwa wala ndogo. Makosa yoote ni machukiza kwa mwenye enzi mkuu Mungu.
Nikweli but ukiangalia Anania alipo sema tu Uongo alikufa hata mke wake vile vile

Tofauti na Kaini aliua bt hakuliwa pale pale

Kimantiki unaweza kuwa sawa but kwa mifano Adam na Hawa plus na Anania inaonyesha Mungu anachukizwa zaidi Uongo iwe umedanganya au umedanganyika

Ndio maana alijifunua kwa NENO lake ili lieleweke tusidanganywe tena akarudi kumtuma mwanaye atufundishe KWELI

Lengo lá kuleta Manabii Mitume na wengine ni ili watu waijue KWELI na waachane na uongo
 
Kumuabudu sanamu badala ya Muumba WA mbingu na nchi .
Au kumshirisha na e katika ibada.
 
Kumuabudu sanamu badala ya Muumba WA mbingu na nchi .
Au kumshirisha na e katika ibada.
Hao Wahindi hapo mjini wanaoabudu zile sanamu mbona sijaona hata tetemeko lizivunje zile sanamu au ni mungu yule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom