bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Habari wakuu!!
kuikweli na tena naamini kuna wenzangu watanielewa sana nikiandika hivi::
::😀hambi yangu kubwa mwaka 2015 ingekuwa kutokuwa na shukrani kwa Mungu. Ahsante Mungu kwa neema na baraka zako mwaka 2015.
....Ukiona moyo wako ni mzito sana kumshukuru Mungu kwa yale aliyokufanyia mwaka huu 2015 basi jua umetenda dhambi kubwa kuliko zote...
bampami nawatakieni kila la kheri tunapoelekea kumaliza mwaka huu 2015..Ni kwa NEEMA tu ndugu zangu tumepewa na Mungu kufika tarehe hizi.
cc Kongosho Evelyn Salt sokwe Yericko Nyerere Maxence Melo Pasco Mzee Mwanakijiji mshana jr
kuikweli na tena naamini kuna wenzangu watanielewa sana nikiandika hivi::
::😀hambi yangu kubwa mwaka 2015 ingekuwa kutokuwa na shukrani kwa Mungu. Ahsante Mungu kwa neema na baraka zako mwaka 2015.
....Ukiona moyo wako ni mzito sana kumshukuru Mungu kwa yale aliyokufanyia mwaka huu 2015 basi jua umetenda dhambi kubwa kuliko zote...
bampami nawatakieni kila la kheri tunapoelekea kumaliza mwaka huu 2015..Ni kwa NEEMA tu ndugu zangu tumepewa na Mungu kufika tarehe hizi.
cc Kongosho Evelyn Salt sokwe Yericko Nyerere Maxence Melo Pasco Mzee Mwanakijiji mshana jr
Last edited by a moderator: