Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
HATIMAYE yule mkuu wa usalama wa mamlaka ya bandari[TPA] aliyesimamishwa kwa ubadhirifu bwana Devid Mranda leo amekabidhiwa barua rasmi ya kutimuliwa, akikabidhiwa barua hiyo hii katika ukumbi wa mamlaka ya mawasiliano pale ubungo ambapo bodi ya TPA ilikutana kwa kazi hiyo chini ya mwenyekiti wake Prof. Msambichaka, bodi hiyo imemkabidhi barua ambayo inamtaka afungashe virago vyake mara moja na kurudi ofisi yake ya zamani [TISS], Mranda mara nyingi alikuwa akijigamba yeye ni mtu toka ofisi ya rais na hakuna wa kumgusa.
Tuangalie misingi sio watu.Kufukuza watu bila kuangalia mfumo mzima wa utendaji kazi ni aina nyingine ya ujinga.Tujiulize tangu watu wafukuzwe ufanisi umeongezeka kwa kiwango gani?
Tuangalie misingi sio watu.Kufukuza watu bila kuangalia mfumo mzima wa utendaji kazi ni aina nyingine ya ujinga.Tujiulize tangu watu wafukuzwe ufanisi umeongezeka kwa kiwango gani?
Sabato masalia , Mbona unamshambulia sana huyu mzee . Do you have anything personal against him ? kwasababu siyo mara yakwanza wewe kituma habari kuhusu mtu huyu huyu
Tuangalie misingi sio watu.Kufukuza watu bila kuangalia mfumo mzima wa utendaji kazi ni aina nyingine ya ujinga.Tujiulize tangu watu wafukuzwe ufanisi umeongezeka kwa kiwango gani?
HATIMAYE yule mkuu wa usalama wa mamlaka ya bandari[TPA] aliyesimamishwa kwa ubadhirifu bwana Devid Mranda leo amekabidhiwa barua rasmi ya kutimuliwa, akikabidhiwa barua hiyo hii katika ukumbi wa mamlaka ya mawasiliano pale ubungo ambapo bodi ya TPA ilikutana kwa kazi hiyo chini ya mwenyekiti wake Prof. Msambichaka, bodi hiyo imemkabidhi barua ambayo inamtaka afungashe virago vyake mara moja na kurudi ofisi yake ya zamani [TISS], Mranda mara nyingi alikuwa akijigamba yeye ni mtu toka ofisi ya rais na hakuna wa kumgusa.
anyway ndo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia. hatuna jinsi ya kukusaidia. pole.
Mapato kuongezeka kutoka Bil 17 hadi Bil 43 kwa mwezi ni ndogo hizo?