Jum Records
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 548
- 559
Wakuu Heshima kwenu, Mimi ni Kijana wa kiume umri miaka 25, nakuja kwenu kuomba Kazi ya Udereva.....nina uzoefu wa udereva kwa miaka zaidi ya 4, kwa mikoa ya DSM, kilimanjaro , Morogoro, Mtwara...pia Nina Leseni Class E, Elimu ya Diploma Animal health&Production.... nipo tayari kufanya kazi hata katika kampuni, Taasisi mbalimbali hata kwa Mtu binafsi....ni kijana mchapakazi, Nina nidhamu na mwaminifu sana....kwa sasa nipo DSM... Wana JF nisaidieni connections.....asanteni sana.... 0785 -543411