Dereva Wa Kujitolea napatikana

Dereva Wa Kujitolea napatikana

Jum Records

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
548
Reaction score
559
Wakuu Heshima kwenu, Mimi ni Kijana wa kiume umri miaka 25, nakuja kwenu kuomba Kazi ya Udereva.....nina uzoefu wa udereva kwa miaka zaidi ya 4, kwa mikoa ya DSM, kilimanjaro , Morogoro, Mtwara...pia Nina Leseni Class E, Elimu ya Diploma Animal health&Production.... nipo tayari kufanya kazi hata katika kampuni, Taasisi mbalimbali hata kwa Mtu binafsi....ni kijana mchapakazi, Nina nidhamu na mwaminifu sana....kwa sasa nipo DSM... Wana JF nisaidieni connections.....asanteni sana.... 0785 -543411
 
Una uzoefu wa udereva miaka 4 au una uzoefu wa kukaa na Leseni miaka 4....? Na unajitolea ili upate nini.... uzoefu zaidi au ili uendelee kukaa Dsm

Ushauri wa bure kama una diploma ya Animal health& production ni bora ukajitolee kwenye hiyo field ya animal itakutoa zaidi pia ni rahisi kwa wewe kijiajiri mwenyewe, huku Dsm kila mtu ni dereva.
 
Una uzoefu wa udereva miaka 4 au una uzoefu wa kukaa na Leseni miaka 4....? Na unajitolea ili upate nini.... uzoefu zaidi au ili uendelee kukaa Dsm

Ushauri wa bure kama una diploma ya Animal health& production ni bora ukajitolee kwenye hiyo field ya animal itakutoa zaidi pia ni rahisi kwa wewe kijiajiri mwenyewe, huku Dsm kila mtu ni dereva.
nilikua kwenye ajira na watu wa Sweden mkataba umeisha nao wamesepa kwao .... Nina uzoefu wa miaka zaidi ya 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom