Vijana wa Bajaji wasumbufu sana.
Akiwa hana chombo anakuwa mpole sana. Na kukuhakikishia kuwa kila kitu kitaenda sawa kama mlivyokubaliana.
Ukishampa chombo matatizo yanaanzia hapo.
1. Mnaanza kusumbuana kwenye hesabu
2. Yeye anakuwa bosi Chombo anamwachia mtu mwingine.
Watu wengi wameacha biashara ya Bajaji kwa hasara kubwa kwa sababu ya madereva.
Hawajali na hawathamini kabisa kuaminiwa.