Dereva ungeweza hii?

Basi kamanda uko vizuri aisee.....tutakuja utupe mashule......[/QUOTE
nyamchele Hiyo ni rahisi kwa sababu kibin inakata tera, lakini ingekuwa imeunganika kama yale ya Makontena, ingeleta shida.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kwa semi trailer ni rahisi sana sababu upinda usukani sana tyre za kwenye trailer hazizunguki katika mfumo wake wa kawaida bali zinasota kwa kusugua, ila fuso haifai maana tyre huzunguka wakati wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…