Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Derek Chauvin, askari aliyemuua George Floyd kwa goti amehukumiwa kwenda jela miaka 22.5
Kifo cha George Floyd kilisababisha maandamano makubwa ya #BlackLivesMatter nchini Marekani ambapo wananchi walitaka haki itendeke
Aidha askari wengine waliokuwa na Derek siku ya tukio kesi zao zinaendelea kusikilizwa
Kifo cha George Floyd kilisababisha maandamano makubwa ya #BlackLivesMatter nchini Marekani ambapo wananchi walitaka haki itendeke
Aidha askari wengine waliokuwa na Derek siku ya tukio kesi zao zinaendelea kusikilizwa