DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,122
Wana jamvi kuna huyu DEO sekondari kigoma manispaa (mr. Sangwa) ana ukilitimba, jeuri, kiburi na usumbufu usio mfano wakati wa kupitisha barua za watumishi wake hasa akina dada wanapotaka kuhama kuwafuata wenzi wao kwa utaratibu ulio wekwa na serikali.
Sijui lengo nini but anakuwa ni mtu wa kuwazungusha kuweka sahihi tu huku akimzungusha mtumishi kila leo huku akitoa sababu zisizoeleweka kiutaratibu, mara hadi utimize miaka kadhaa, mara njoo kesho au kesho kutwa, sijui unataka aoe wote ama? kwani kuna shida gani kusign barua ya namna hiyo kama hajakizi vigezo kama ni kweli si comment akakwame mbele ya safari?
Sijui lengo nini but anakuwa ni mtu wa kuwazungusha kuweka sahihi tu huku akimzungusha mtumishi kila leo huku akitoa sababu zisizoeleweka kiutaratibu, mara hadi utimize miaka kadhaa, mara njoo kesho au kesho kutwa, sijui unataka aoe wote ama? kwani kuna shida gani kusign barua ya namna hiyo kama hajakizi vigezo kama ni kweli si comment akakwame mbele ya safari?