ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,110
- 49,826
Kwa mujibu wa habari iliyonukuliwa na gazeti la The Citizen kutoka kwenye taarifa za Benki Kuu zinazoishia mwezi August zinaonyesha kuoungua kwa deni la Taifa.
Deni la Taifa limepungua Kwa $726 Milioni kutoka $29.52 Bilioni Hadi $28.61Bilion Kufuatia kubadilika bafilika Kwa viwango vya kubadilisha Fedha ikiwemo kuimalika Kwa Shilingi.
My Take
Chadema Watapinga,Watasema Samia amekopa sana 🤣🤣🤣🤣.
Deni la Taifa limepungua Kwa $726 Milioni kutoka $29.52 Bilioni Hadi $28.61Bilion Kufuatia kubadilika bafilika Kwa viwango vya kubadilisha Fedha ikiwemo kuimalika Kwa Shilingi.
My Take
Chadema Watapinga,Watasema Samia amekopa sana 🤣🤣🤣🤣.