Denda limeniponza

Denda limeniponza

Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.

Mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita, katikati ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne, duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia, kwa ujasiri nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).

Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea!

Kitu natural beauty basi, girls muwe in reality plz.

Aisee huyo mpenzi wako ni bibi kizee nn 😂😂😂😂😂
 
yaani mkuu mbavu sina. kama umetunga ni hakika una utunzi mzuri.

Big up mkuuu
 
Hahahahaha,! yani nimecheka mpaka nimepaliwa!, haya bhana,
 
Metakelfin hizoo kunywa majuisi juisi na maji mengi,akili zitarudi sawa ndugu.
 
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.

Mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita, katikati ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne, duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia, kwa ujasiri nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).

Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea!

Kitu natural beauty basi, girls muwe in reality plz.

Hahahaha Dah ilishawahi kunitokea hali hiyo
 
hahaaa. angekua natural usingempenda. tatizo lenu mnapenda atificial huku mnajifany mnataka natural
 
Kaaa huu ni oungo ulikithiri, sidhani kama hii story ni ya ukweli?
 
he he he nimecheka nahisi mpaka waliolala wameamka....hiyo ya wigi ilishawahi kunitokea enzi za long,halafu kichwa sijui alinyoa na mkasi butu...
 
Back
Top Bottom