MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,235
mmmh ya kweli haya?mbona story kama za vijiweni?
Tena kijiwe cha chang'aa
mmmh ya kweli haya?mbona story kama za vijiweni?
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.
Mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita, katikati ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne, duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia, kwa ujasiri nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).
Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea!
Kitu natural beauty basi, girls muwe in reality plz.
Nikisema hii ni adithi ya kutunga ntakuwa nimekosea?
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.
Mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita, katikati ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne, duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia, kwa ujasiri nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).
Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea!
Kitu natural beauty basi, girls muwe in reality plz.
hahaaa. angekua natural usingempenda. tatizo lenu mnapenda atificial huku mnajifany mnataka natural