Demu wangu anataka kutoa mimba.

Demu wangu anataka kutoa mimba.

niggapaul

Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
49
Reaction score
44
Habari zenu wanajamvi.

Nimejaribu kwa namna zote kumkataza lakini anang'ang'ania isitoshe nina future nae.

Naombeni ushauri nimfanyeje maana niko confused.

Uzi tayari.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
ongea nae kiutaratibu au jaribu kufka kwao kwa lengo la kujitambulisha il ajue humchezei na una malengo nae
 
ongea nae kiutaratibu au jaribu kufka kwao kwa lengo la kujitambulisha il ajue humchezei na una malengo nae

anasema anawaogopa dada zake watamwonaje mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu demu kutaka kutoa mimba lazima kuna sababu inayomfanya atowe hiyo mimba ili asitowe fanya hivi mjali sana mpe matumani mengi kama anakazi mtafutie kazi au mpe ata mtaji mpe muda wa kumjali na uhakika atatoa hiyo mimba mimi nilikuwa na demu wangu alivyoniambia nataka kutoa mimba ilibidi nimjali sana kumpa moyo paka akajifungua baada ya kujifungua mtoto siyo wangu hii dunia hii siyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu demu kutaka kutoa mimba lazima kuna sababu inayomfanya atowe hiyo mimba ili asitowe fanya hivi mjali sana mpe matumani mengi kama anakazi mtafutie kazi au mpe ata mtaji mpe muda wa kumjali na uhakika atatoa hiyo mimba mimi nilikuwa na demu wangu alivyoniambia nataka kutoa mimba ilibidi nimjali sana kumpa moyo paka akajifungua baada ya kujifungua mtoto siyo wangu hii dunia hii siyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

somehow maneno yako yanaendana na nilichokua nakiwaza maana mm nimemwambia toka tunaanza mahusiano kwamba sitaki nimchezee ila naona labda mtoto atakua sio wangu asee ananipa sababu za ovyo sana eti nitamtelekeza nimeamua tu afanye analotaka ila asinishirikishe katika hilo.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi alilazimisha sana atowe hiyo mimba nikakataa nikamuambia unataka nini sasa akasema nikamtimizia kila kitu nilikuwa namjali sana namlete zawadi na vitu kajifungua nimelea mtoto miaka minne nagundua siyo mtoto wangu nilipambikiwa yani ukikumbuka huduma nilizokuwa nampa unaweza kulia
somehow maneno yako yanaendana na nilichokua nakiwaza maana mm nimemwambia toka tunaanza mahusiano kwamba sitaki nimchezee ila naona labda mtoto atakua sio wangu asee ananipa sababu za ovyo sana eti nitamtelekeza nimeamua tu afanye analotaka ila asinishirikishe katika hilo.



Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom