knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,403
- 2,006
Habarini, nina imani wote ni wazima Mungu anaendelea kutupigania.
Nina changamoto naomba ushauri wakuu.
Nina demu nipo nae kwa mahusiano lakini hii wiki sasa temekuwa tukipishana ishu nikwamba huyu dem kapa kazi kwenye CASINO moja kubwa tu hapa jijin Dar akaja kunieleza na kuniomba ruhusa nimruhusu akafanye kazi huko CASINO.
Lakini ukweli nilimkatalia kabisa na nikamwambia staki kusikia habari za kufanya kazi CASINO na ananijua nikishakataaga kitu nimekataa sasa yapita wiki kila siku akija home nikulia na kuniomba nimruhusu akafanye kazi huko na mimi staki.
Sasa imefika hatua analalamika kuwa namuonea tu kwa kumkatalia kufanya hiyo kazi kwakuwa wanatamlipa vizuri.
Sasa nimekuja kwenu wakuu mnishauri kwa mnavojua kazi na mambo yanayoendelea huko kwenye makasino; je na kazi zauko zilivo maana mengine siyajui ya huko nilegeze kamba nimruhusu kama anavolalamika au niendelee kukaza kamba na kusimamia msimamo wangu uleule kuwa siitaji.
Kwenu wakuu naimani mtanishauri vyema na ndomana nimekuja kuwawasilishia jambo hili Mingu awabariki
Nina changamoto naomba ushauri wakuu.
Nina demu nipo nae kwa mahusiano lakini hii wiki sasa temekuwa tukipishana ishu nikwamba huyu dem kapa kazi kwenye CASINO moja kubwa tu hapa jijin Dar akaja kunieleza na kuniomba ruhusa nimruhusu akafanye kazi huko CASINO.
Lakini ukweli nilimkatalia kabisa na nikamwambia staki kusikia habari za kufanya kazi CASINO na ananijua nikishakataaga kitu nimekataa sasa yapita wiki kila siku akija home nikulia na kuniomba nimruhusu akafanye kazi huko na mimi staki.
Sasa imefika hatua analalamika kuwa namuonea tu kwa kumkatalia kufanya hiyo kazi kwakuwa wanatamlipa vizuri.
Sasa nimekuja kwenu wakuu mnishauri kwa mnavojua kazi na mambo yanayoendelea huko kwenye makasino; je na kazi zauko zilivo maana mengine siyajui ya huko nilegeze kamba nimruhusu kama anavolalamika au niendelee kukaza kamba na kusimamia msimamo wangu uleule kuwa siitaji.
Kwenu wakuu naimani mtanishauri vyema na ndomana nimekuja kuwawasilishia jambo hili Mingu awabariki