Demu muuza genge ananipenda

Demu muuza genge ananipenda

kenny mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
322
Reaction score
902
Wakuu poleni na mihangaiko ya hapa na pale nimefungua ofisi kubwa sana hapa mjini ya kuchezesha game pes sasa hapa ofisini kuna mkusanyiko mkubwa wa biashara sasa kuna mdada mmoja hapa ana genge ni bonge moja la demu lakini toka nimefungua sina mazoea nae ila cha kushangaza demu anafosi mazoea mara aje aombe chenchi Mara anisalimje salimie.

Mimi no MTU wa kuvaaa saana natupia mno nafikiria demu kadata na mitupio yangu halafu Mimi ni MTU wa kukaa kimya kujali mambo yangu so demu ameonyesha kila dalili ya kunielewa maana mda mwingi amekuwa akinitizama sana

Wakuu ushauri wenu naona kama sijamuelewa na sitaki kumfanya aumie moyo nifanyaje?
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale nimefungua ofisi kubwa sana hapa mjini ya kuchezesha game pes sasa hapa ofisini kuna mkusanyiko mkubwa wa biashara sasa kuna mdada mmoja hapa ana genge ni bonge moja LA demu lakini toka nimefungua sina mazoea nae ila cha kushangaza demu anafosi mazoea mara aje aombe chenchi Mara anisalimje salimie, Mimi no MTU wa kuvaaa saana natupia mno nafikiria demu kadata na mitupio yangu halafu Mimi ni MTU wa kukaa kimya kujali mambo yangu so demu ameonyesha kila dalili ya kunielewa maana mda mwingi amekuwa akinitizama sana,
Wakuu ushauri wenu naona kama sijamuelewa na sitaki kumfanya aumie moyo nifanyaje?
Andaa Ky Jelly ili likikupata la kukupata ujue pa kuanzia.
 
Back
Top Bottom