Demu kanikataa live?

Demu kanikataa live?

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
487
Reaction score
934
Nimetokwa na machoz, nkikumbuka venye dem huyu nlivyojitoa kwake.
kwel n machungu na nimeumia sana,nlijinyima iliapate,ila amesema hanitak mm sio ya type yake,saiv yupo na mjuba mwenye mapen ten tajir

ila mm wacha niendelee kula miayo,maan maj yakimwagika haizolek.ila ni cha jifunza somo,wacha nikamat charles kitwanga
 
Nimetokwa na machoz, nkikumbuka venye dem huyu nlivyojitoa kwake.
kwel n machungu na nimeumia sana,nlijinyima iliapate,ila amesema hanitak mm sio ya type yake,saiv yupo na mjuba mwenye mapen ten tajir

ila mm wacha niendelee kula miayo,maan maj yakimwagika haizolek.ila ni cha jifunza somo,wacha nikamat charles kitwanga
Muache karma itamtafuna tu
 
Back
Top Bottom