Demokrasia inayotendeka Amerika laiti ingelikuwa inafanyika bara la Afrika tungekuwa na maendeleo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,293
33,078
Watazamaji Mchezaji Mpira Mr Obama anatoka uwanjani na nafasi yake anaingia Captain Mr Trump. Na Mpira bado unaendelea..................

MR OBAMA NA MR TRUMP.jpg
MR OBAMA NA MR TRUMP.jpg
 
Watazamaji Mchezaji Mpira Mr Obama anatoka uwanjani na nafasi yake anaingia Captain Mr Trump. Na Mpira bado unaendelea..................

View attachment 462050 View attachment 462050


Ndugu USA imeanzishwa mwaka 1776, Tanzania mwaka 1961, kuna tofauti kubwa sana hapo, chukulia kwa mfano nchi ya Barazili ina miaka zaidi ya 200 lkn imeanza kujua demokrasia miaka 30 iliyopita, hivyo kwa Afrika bado sana miaka 50 ni michache sana hasa ukichukulia kwamba Afrika hatujawahi kuwa na Utamaduni kama wa Kizungu haya mambo yote Wazungu ndiyo wameyaleta, nikimaanisha kwamba kabla ya kuja Wazungu hakukuwa na mambo ya uchaguzi kumchagua Raisi sijui Vyama n.k. hivyo kutulamumu Waafrika siyo kuwa fair, kwa maoni yangu!

Na isitoshe huyo ni mfumo wa Kizungu lkn Dunia nje ya USA na EU hakuna hayo mambo au yako tofauti na maisha yanaendelea!
 
Ndugu USA imeanzishwa mwaka 1776, Tanzania mwaka 1961, kuna tofauti kubwa sana hapo, chukulia kwa mfano nchi ya Barazili ina miaka zaidi ya 200 lkn imeanza kujua demokrasia miaka 30 iliyopita, hivyo kwa Afrika bado sana miaka 50 ni michache sana hasa ukichukulia kwamba Afrika hatujawahi kuwa na Utamaduni kama wa Kizungu haya mambo yote Wazungu ndiyo wameyaleta, nikimaanisha kwamba kabla ya kuja Wazungu hakukuwa na mambo ya uchaguzi kumchagua Raisi sijui Vyama n.k. hivyo kutulamumu Waafrika siyo kuwa fair, kwa maoni yangu!

Na isitoshe huyo ni mfumo wa Kizungu lkn Dunia nje ya USA na EU hakuna hayo mambo au yako tofauti na maisha yanaendelea!
Kwa Bara la afrika hata kama watapewa miaka 1000 ya mbele hakutakuwa na Demokrasia ya ukweli Viongozi wa kisiasa bara la Afrika ni viongzoi wenye uchu wa kung'ang'ania madaraka hata kama atashindwa hataki kutoka mpaka mtutu wa bunduki ndio anaweza kutoka.Niambie nchi gani ya barala Afrika yenye Demokrasia ya ukweli?
 
Juu Leo hii tarehe 21-08-2017 ndio siku aliapishwa Rais wa Amerika Mr.Trump. Na Picha ya chini ni siku Kama ya Leo mwaka 2008 aliapishwa Rais Obama nani amepata watu wengi? Jibu unalo wewe Mwenyewe.

UCHAGUZI WA RAIS AMERIKA.jpg
 
Hahahahaha democracy a dream world kama inawezekana mtu aniambie maaan ya democracy na vip inatekelzwa marekani eti smooth transition of leadership free of speech unafikir vitu hiv viatosha kuitangaza marekan kama no nch ya kidemokrasia
 
Hao wa marekani ndio wanaovuruga democrasia katika nchi nyingi especialy africa na asia.
 
Kwa Bara la afrika hata kama watapewa miaka 1000 ya mbele hakutakuwa na Demokrasia ya ukweli Viongozi wa kisiasa bara la Afrika ni viongzoi wenye uchu wa kung'ang'ania madaraka hata kama atashindwa hataki kutoka mpaka mtutu wa bunduki ndio anaweza kutoka.Niambie nchi gani ya barala Afrika yenye Demokrasia ya ukweli?


Hata mimi naweza kukuuliza swali hilo hilo nitajie nchi yoyote Dunia hii yenye demokrasia ya ukweli!

Labda uko sawa kwenye hilo la miaka lkn usisahau kwamba Ulaya wana Historia ndefu sana ya hii tunayoiita demokrasia kuanzia Ugiriki miaka 500 kabla ya Kristo, na Afrika hii demokrasia ya Kizungu/Ulaya imekuja karne ya 20 na Wazungu, hata hao Wazungu wenyewe pmj na miaka yote hiyo bado hawaja perfect hiyo hiyo demokrasia yao!

Nafikiri kosa kubwa sana tunalolifanya Waafrika ni kufikiri kwamba demokrasia maana yake Uchaguzi, yaani kuwa na vyama mbali mbali vinafanya uchaguzi mshindi akipatikana basi ndiyo demokrasia, hapana demokrasia ni zaidi ya hapo, ina mambo mengi sana naweza kukupa mfano kwa Wazungu ukimchapa mtoto wako unashitakiwa na Serikali kwa maana nyingine hauruhusiwi na hiyo ni demokrasia yao, kwa Wazungu mtoto akifikisha miaka 14 (baadhi ya nchi wengine 16) anaruhusiwa kisheria ku-sex maadamu ana-sex na kijana mwenzake chini ya miaka 20 na wewe kama Mzazi huwezi kumfanya kitu kwa maana inaruhusiwa kisheria hivyo ni haki yake ya kidemokrasia, na mifano mingine mingi ya kidemokrasia ya Kizungu ambayo haikubaliki kwenye tamaduni nyingine lkn kwa tafsiri yako utasema kwa kuwa sisi hatukubali watoto wetu wa miaka 16 wafanye sex basi hatuna demokrasia?
 
Ndugu USA imeanzishwa mwaka 1776, Tanzania mwaka 1961, kuna tofauti kubwa sana hapo, chukulia kwa mfano nchi ya Barazili ina miaka zaidi ya 200 lkn imeanza kujua demokrasia miaka 30 iliyopita, hivyo kwa Afrika bado sana miaka 50 ni michache sana hasa ukichukulia kwamba Afrika hatujawahi kuwa na Utamaduni kama wa Kizungu haya mambo yote Wazungu ndiyo wameyaleta, nikimaanisha kwamba kabla ya kuja Wazungu hakukuwa na mambo ya uchaguzi kumchagua Raisi sijui Vyama n.k. hivyo kutulamumu Waafrika siyo kuwa fair, kwa maoni yangu!

Na isitoshe huyo ni mfumo wa Kizungu lkn Dunia nje ya USA na EU hakuna hayo mambo au yako tofauti na maisha yanaendelea!
Mwalimu aweza kuwa na miaka 50 na chetichake cha ualimu mwanafunzi wake akawa PHD holder kwa miaka 40. Age doesn't matter Ndugu utashi na kuacha ubinafsi ndio kila kitu
 
Mwalimu aweza kuwa na miaka 50 na chetichake cha ualimu mwanafunzi wake akawa PHD holder kwa miaka 40. Age doesn't matter Ndugu utashi na kuacha ubinafsi ndio kila kitu


Hapana kwenye Nchi inamata sana, ngoja nikuulize swali uko tayari Binti yako wa miaka 14 kusex na boy friend wake nyumbani kwako, na hii iwe kisheria?
 
Kwani uchaguzi hatufanyi? Au unadhani demokrasia ni kumruhusu mwanao asex nyumbani kwako kabla ya Ndoa?


Ndiyo package ya demokrasia ya Kizungu hiyo, wanapoongelea Western democracy ndicho wanachomaanisha siyo uchaguzi tu, kwanza uchaguzi ni sehemu tu ya demokrasia ya Kizungu kuna mengi zaidi!
 
Hata mimi naweza kukuuliza swali hilo hilo nitajie nchi yoyote Dunia hii yenye demokrasia ya ukweli!

Labda uko sawa kwenye hilo la miaka lkn usisahau kwamba Ulaya wana Historia ndefu sana ya hii tunayoiita demokrasia kuanzia Ugiriki miaka 500 kabla ya Kristo, na Afrika hii demokrasia ya Kizungu/Ulaya imekuja karne ya 20 na Wazungu, hata hao Wazungu wenyewe pmj na miaka yote hiyo bado hawaja perfect hiyo hiyo demokrasia yao!

Nafikiri kosa kubwa sana tunalolifanya Waafrika ni kufikiri kwamba demokrasia maana yake Uchaguzi, yaani kuwa na vyama mbali mbali vinafanya uchaguzi mshindi akipatikana basi ndiyo demokrasia, hapana demokrasia ni zaidi ya hapo, ina mambo mengi sana naweza kukupa mfano kwa Wazungu ukimchapa mtoto wako unashitakiwa na Serikali kwa maana nyingine hauruhusiwi na hiyo ni demokrasia yao, kwa Wazungu mtoto akifikisha miaka 14 (baadhi ya nchi wengine 16) anaruhusiwa kisheria ku-sex maadamu ana-sex na kijana mwenzake chini ya miaka 20 na wewe kama Mzazi huwezi kumfanya kitu kwa maana inaruhusiwa kisheria hivyo ni haki yake ya kidemokrasia, na mifano mingine mingi ya kidemokrasia ya Kizungu ambayo haikubaliki kwenye tamaduni nyingine lkn kwa tafsiri yako utasema kwa kuwa sisi hatukubali watoto wetu wa miaka 16 wafanye sex basi hatuna demokrasia?

What's Democracy.png
 
Watazamaji Mchezaji Mpira Mr Obama anatoka uwanjani na nafasi yake anaingia Captain Mr Trump. Na Mpira bado unaendelea..................

View attachment 462050 View attachment 462050
Marekani hakuna democracy.
Yeye yupo juu ya sheria
Yeye yupo juu ya haki za binadamu .anachagua yupi ana haki ya kuishi yupi hana ,yupi aongoze aongoze kwa maslahi yake wala si inchi husika.
I u calling that democracy?
 
Back
Top Bottom