both teams to score-YES
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 988
- 1,881
Wakuu msaada pls..Nataka nikituma text nione Delivery report..ila nimejarb kucheki paKuiset..wala hawajaweka kabisa.
Natumia samsung galaxy note 9
Natumia samsung galaxy note 9
Hizi simu sometimes matatizo matupu...korea version
Vietnam version
sahau kuhusu hilo
Uongo nao dhambi , kama hujui uliza sms ikifika kwa samsung hizo kwenye sms detailz itaandika sms sent, ikiwa imefel hubaki na kialama cha duara flan hivi kuashiria haijaenda .korea version
Vietnam version
sahau kuhusu hilo
jifunze zaidi usijifanye unajua wakati hujui kituUongo nao dhambi , kama hujui uliza sms ikifika kwa samsung hizo kwenye sms detailz itaandika sms sent, ikiwa imefel hubaki na kialama cha duara flan hivi kuashiria haijaenda .
Asante endelea kusimamia unachokiaminijifunze zaidi usijifanye unajua wakati hujui kitu
kwa kuwa unajifanya unajua lkn mm najua haujui nakuacha hvyohvyo usijue na UJINGA WAKO