Tafuteni wenye degrees kwetu uswazi huyo ana PHD,nadhani performance ndo cha msingi wangapi wana degree but hawana vipaji na wao wanataka kuwa kama zembwela na wanamkubali na wengine kumuonea kijicho.
Sijawi kupenda utangazaji wake,yani ni mjuajia mnoo afu anaovercontrol had mtu wanaemuhoji akuuu!! Mie nlikua nampenda yule kaka wa east africa drive,sijui kahamia wapi SEBASTIAN jaman!! loo lile lisauti mie roho kwatuu,
Sijawi kupenda utangazaji wake,yani ni mjuajia mnoo afu anaovercontrol had mtu wanaemuhoji akuuu!! Mie nlikua nampenda yule kaka wa east africa drive,sijui kahamia wapi SEBASTIAN jaman!! loo lile lisauti mie roho kwatuu,
kwa upande wa kusimamia show kwa umce
Huwa anaboa zembwela mfano show ya kilimanjaro umcee ulimshinda hata mpoki mwenyewe me nae simkubali..k2 vanesa na mc pilipili wanajua sana
Sijawi kupenda utangazaji wake,yani ni mjuajia mnoo afu anaovercontrol had mtu wanaemuhoji akuuu!! Mie nlikua nampenda yule kaka wa east africa drive,sijui kahamia wapi SEBASTIAN jaman!! loo lile lisauti mie roho kwatuu,