Degree ya SUA pesa yako tu

Acha ujinga, hivi kweli inaingia akilini msomi atangaze dau la Rushwa?.

Mimi nimesoma SUA, naifahamu jamii ya watu wa pale, wanafunzi wengi ni wa kawaida sana kiuchumi, hata wakiambiwa laki mbili, inakuwa tabu!

Anyway! Ila ninachojua ni ndivyo ilivyo mwalimu anaweza kukusaidia kwenye course work tu, kwakuwa haina external examiner! Ila UE mwalimu hana mamlaka nayo kihivyo.

Unajua mshahara wa mwl wa chuo? Ila aweze kurisk kazi yake kwa ki millioni kimoja? Acha upuuzi, acha kupoteza muda kwa kuwachafua waalimu wako.
 
Mleta mada yuko sahihi,ila naona wasuaso wamemuijia juu ili kuficha madudu ya kachuo kao!

Kumbe SUA ni kachuo!.

Anyway! Siwezi kuwatetea waalimu wote wa sua, madudu yapo kila sehemu. Ila tujaribu kuwa fair! Kuna tuhuma nyingine feki.
 
Acha ujinga, hivi kweli inaingia akilini msomi atangaze dau la Rushwa?.

Mimi nimesoma SUA, naifahamu jamii ya watu wa pale, wanafunzi wengi ni wa kawaida sana kiuchumi, hata wakiambiwa laki mbili, inakuwa tabu!

Anyway! Ila ninachojua ni ndivyo ilivyo mwalimu anaweza kukusaidia kwenye course work tu, kwakuwa haina external examiner! Ila UE mwalimu hana mamlaka nayo kihivyo.

Unajua mshahara wa mwl wa chuo? Ila aweze kurisk kazi yake kwa ki millioni kimoja? Acha upuuzi, acha kupoteza muda kwa kuwachafua waalimu wako.

Hizi ni tuhuma nzito sana mkuu. Huwezi kuzutupa kapuni bila hata ya kumpa mtoa mada 'benefit of doubt'.
Ni kweli ameleta hoja zake kiudhaifu na makosa mengi ya kisarufi na kimantiki, ila ni vema ushahidi wake ungeangaliwa na kuchunguzwa, kuna madudu mengine unaweza kudhani hayapo, kumbe yapo......mengine utadhani maigizo.
Mtoa mada, hebu funguka zaidi.....weka ushahidi na facts zaidi.
 
Jamani siku hizi ukiwa SUA kupata degree si lazima ukomae bali kama una mzigo wa kueleweka basi unapata (namaanisha pesa).Kuna lecture moja aliyekuwa anafundisha kozi yenye code EDM 304 aliwaomba rushwa ya 1000,000/=Tsh kwa wale waliofeli mtihani wa chuo (UE) ili awatoe wakati wa probation,wakagoma kumpatia hiyo kitita na hatimate wakaingia kufanya hiya prob bila kutoa chochote na ndipo jamaa alipoleta ngoma haikutembea na maanisha mtihani ulikuwa mgumu kama jiwe kwa kila mmoja.Hapo ndipo jamaa akaanza kuwapangia bei ili wafaulu mtihani huo na garama ya tozo inategemea utakavojieleza, wengine aliwachota 350,000/=,wako wa 250,000/= naaliye mlilia sana alitozwa 100,000/=.JE lecter kama huyu siyo jambazi? Kwanini asichuliwe hatua kali za kinidhamu maana ana dhalilisha chuo? je nyie mnashaurije kuhusu kashfa hii nzito?[/QUOTE

Hapo pekundu (lecture, lecter) unamaanisha nini vile? Mimi tu kukuuliza. Kutokana na jinsi unavyoandika, si rahisi mtu kama wewe kufaulu mitihani ya Mwalimu ambaye yuko serious, na matokeo yake unakimbilia kuchafua Waalimu wako kwenye social media wkt tatizo ni wewe mwenye IQ ndogo na haujitumi kwenye masomo. Jaribu kuwa na staha kwa Waalimu wako na siyo busara hata kidogo kuanza kuwachafua wkt bandiko lako linaonyesha kwamba una uwezo mdogo sana darasani.

Aisee! Mambo ya binadamu hayo! Anatakiwa ajue hlo!
 
Jamani siku hizi ukiwa SUA kupata degree si lazima ukomae bali kama una mzigo wa kueleweka basi unapata (namaanisha pesa).Kuna lecture moja aliyekuwa anafundisha kozi yenye code EDM 304 aliwaomba rushwa ya 1000,000/=Tsh kwa wale waliofeli mtihani wa chuo (UE) ili awatoe wakati wa probation,wakagoma kumpatia hiyo kitita na hatimate wakaingia kufanya hiya prob bila kutoa chochote na ndipo jamaa alipoleta ngoma haikutembea na maanisha mtihani ulikuwa mgumu kama jiwe kwa kila mmoja.Hapo ndipo jamaa akaanza kuwapangia bei ili wafaulu mtihani huo na garama ya tozo inategemea utakavojieleza, wengine aliwachota 350,000/=,wako wa 250,000/= naaliye mlilia sana alitozwa 100,000/=.JE lecter kama huyu siyo jambazi? Kwanini asichuliwe hatua kali za kinidhamu maana ana dhalilisha chuo? je nyie mnashaurije kuhusu kashfa hii nzito?
mi sikuamin....we nahisi umeliwa kichwa afu ndo unapunguzia maumivu humu!!!!! weka ushaidi hapa.....mbambafu!!!!!
 
Jamani makosa ya kawaida mnakalia vikao kutwa kweli mtia aibu.
Ushahidi upo tena na pesa alikuwa atumiwa kwa m pesa na pia jaribuni kuulizia hapo SUA kwamba hiyo kozi EDM 304 ilifundishwa na nani, hapo utakuwa umepata picha kamili ya mtu huyo
 
Nawe acha kuchafua jina zuri la chuo chetu, kama wewe umepata degree ya kununua hiyo ni yako. Halafu unapotaja kozi moja tu na kuthibitisha sijui ndo "SP yako uliyofanya" na kutuletea jukwaani tukueleweje sisi! Kajipange tena!!!!
 
Ni kitu kinachofanyika katika Vyuo vingi sema ushahidi ni ngumu kuuweka wazi, ila ni vema wahusika wakalichunguza suala hili.
 
Jamani siku hizi ukiwa SUA kupata degree si lazima ukomae bali kama una mzigo wa kueleweka basi unapata (namaanisha pesa).Kuna lecture moja aliyekuwa anafundisha kozi yenye code EDM 304 aliwaomba rushwa ya 1000,000/=Tsh kwa wale waliofeli mtihani wa chuo (UE) ili awatoe wakati wa probation,wakagoma kumpatia hiyo kitita na hatimate wakaingia kufanya hiya prob bila kutoa chochote na ndipo jamaa alipoleta ngoma haikutembea na maanisha mtihani ulikuwa mgumu kama jiwe kwa kila mmoja.Hapo ndipo jamaa akaanza kuwapangia bei ili wafaulu mtihani huo na garama ya tozo inategemea utakavojieleza, wengine aliwachota 350,000/=,wako wa 250,000/= naaliye mlilia sana alitozwa 100,000/=.JE lecter kama huyu siyo jambazi? Kwanini asichuliwe hatua kali za kinidhamu maana ana dhalilisha chuo? je nyie mnashaurije kuhusu kashfa hii nzito?
Kwani SUA wanatoa degree kwa somo moja tu? mbona hujatoa maelezo ya masomo mengine, je ni EU tu ndio ina conclude ufaulu wa mtu ile system ya course work kuwa na 40% na EU 60% kwa ulishaisha? na kama haujaisha mbona hutuelezi kuwa walifanyaje hiyo course work.
 
muundie tume ya kufanya uchunguzi huyo lecturer,au nenda kwa hosea kamsemee kama ni kweli.na ushahidi unasema unao.
 
kukosea kuandika neno si tatizo na haimaanishi kwamba IQ ya mtu ni ndogo. HApa naweza sema kwamba wewe ndo una IQ ndog kushindwa kumuelewa mtoa mada kile alichokusudia kukisema na kukifikisha kwa jamii. Na si ajabu hata maana ya IQ huijui. :bowl:

  • :nimekataa




 
Hizi ni tuhuma nzito sana mkuu. Huwezi kuzutupa kapuni bila hata ya kumpa mtoa mada 'benefit of doubt'.
Ni kweli ameleta hoja zake kiudhaifu na makosa mengi ya kisarufi na kimantiki, ila ni vema ushahidi wake ungeangaliwa na kuchunguzwa, kuna madudu mengine unaweza kudhani hayapo, kumbe yapo......mengine utadhani maigizo.
Mtoa mada, hebu funguka zaidi.....weka ushahidi na facts zaidi.

mkuu sijapinga. Najua Elimu kwasasa imeharibika. Kuna vijana wengi wamepewa jukumu la kufundisha, hawana "ethics" hata kidogo. Hilo lipo kila mahali.

Ila hivi inakuingia akilini msomi mzima atangaze dau la rushwa!... Sitetei kuwa hakuna waalimu wanaokula rushwa! Wapo kuanzia ya Ngono hadi pesa. Ila hakuna mwl mwenye akili timamu anayetangaza rushwa.

Nakumbuka kuna binti mmoja wa kipemba alikuwa ni chakula cha maprof pale Vet, alikuwa anapita kimagumashi. Ila hao maprof walikuwa hawatangazi dau. Akijipeleka analiwa.
 
mkuu sijapinga. Najua Elimu kwasasa imeharibika. Kuna vijana wengi wamepewa jukumu la kufundisha, hawana "ethics" hata kidogo. Hilo lipo kila mahali.

Ila hivi inakuingia akilini msomi mzima atangaze dau la rushwa!... Sitetei kuwa hakuna waalimu wanaokula rushwa! Wapo kuanzia ya Ngono hadi pesa. Ila hakuna mwl mwenye akili timamu anayetangaza rushwa.

Nakumbuka kuna binti mmoja wa kipemba alikuwa ni chakula cha maprof pale Vet, alikuwa anapita kimagumashi. Ila hao maprof walikuwa hawatangazi dau. Akijipeleka analiwa.

Haileti maana...wala haina mantiki, mtindo wa kutangaza dau! Ila ingekua vema kama ingechunguzwa, japo kuondoa shaka ndogo iliyokuwepo!
 
Jamani siku hizi ukiwa SUA kupata degree si lazima ukomae bali kama una mzigo wa kueleweka basi unapata (namaanisha pesa).Kuna lecture moja aliyekuwa anafundisha kozi yenye code EDM 304 aliwaomba rushwa ya 1000,000/=Tsh kwa wale waliofeli mtihani wa chuo (UE) ili awatoe wakati wa probation,wakagoma kumpatia hiyo kitita na hatimate wakaingia kufanya hiya prob bila kutoa chochote na ndipo jamaa alipoleta ngoma haikutembea na maanisha mtihani ulikuwa mgumu kama jiwe kwa kila mmoja.Hapo ndipo jamaa akaanza kuwapangia bei ili wafaulu mtihani huo na garama ya tozo inategemea utakavojieleza, wengine aliwachota 350,000/=,wako wa 250,000/= naaliye mlilia sana alitozwa 100,000/=.JE lecter kama huyu siyo jambazi? Kwanini asichuliwe hatua kali za kinidhamu maana ana dhalilisha chuo? je nyie mnashaurije kuhusu kashfa hii nzito?

Kumbe ndio mana wataalamu feki wamejaa hii nchi
 
Back
Top Bottom