DEGREE vs DIPLOMA

DEGREE vs DIPLOMA

chikoxalate

Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
62
Reaction score
22
Nimechaguliwa kozi na ngazi mbili tofauti so nahitaji msaada wa ushauri kati ya BACHELOR OF INFORMATION TECHNOLOGY (NIT) na DIPLOMA IN PHARMACY (COTS MTWARA) wapi ni bora zaidi msaada nipe na reason ya ushauri wakuu ipi bora na kwanini?
 
Nimechaguliwa kozi na ngazi mbili tofauti so nahitaji msaada wa ushauri kati ya BACHELOR OF INFORMATION TECHNOLOGY (NIT) na DIPLOMA IN PHARMACY (COTS MTWARA) wapi ni bora zaidi msaada nipe na reason ya ushauri wakuu ipi bora na kwanini?
Ulisoma Combi gani? Matokeo yako ni yapi?

Kama ningekuwa mimi, ningeenda kusoma DIPLOMA IN PHARMACY kwa ajili ya kuangalia fursa za ajira.
 
Kafanye diploma ya pharmacy dogo inafaida kubw katk soko la kujiajiri na ajila
 
Itakuwa haupo serious.. Bora Pharmacy cheti kabisa sio diploma mzee kuliko Hayo ma NIT sijui Kama huamini nenda ukimaliza degree njoo tuitukane serikali hapa kwa kukosa ajira...
 
Kasome diploma ya radiology au maabara
Nimechaguliwa kozi na ngazi mbili tofauti so nahitaji msaada wa ushauri kati ya BACHELOR OF INFORMATION TECHNOLOGY (NIT) na DIPLOMA IN PHARMACY (COTS MTWARA) wapi ni bora zaidi msaada nipe na reason ya ushauri wakuu ipi bora na kwanini?
 
Itakuwa haupo serious.. Bora Pharmacy cheti kabisa sio diploma mzee kuliko Hayo ma NIT sijui Kama huamini nenda ukimaliza degree njoo tuitukane serikali hapa kwa kukosa ajira...
Sawa mkuu
 
Itakuwa haupo serious.. Bora Pharmacy cheti kabisa sio diploma mzee kuliko Hayo ma NIT sijui Kama huamini nenda ukimaliza degree njoo tuitukane serikali hapa kwa kukosa ajira...
wee mzee...hahah...

Kwamba akaisome hiyo Degree, amalize aje kuitukana Serekale...haha
 
Back
Top Bottom