Habarini wanajamvi
Naomba msaada kujua mchakato mzima wa program hii. Kuanzia ugumu/urahisi wake na je ajira zake baada ya kumaliza masomo na upatikanaji wake. Natanguliza shukraan
Kwenye ugum na urahis wake hapo cfaham.
Ila kwenye swala la ajira pagum kama hauna connection.
Kama n poor peasant kama mm ckushaur kusoma iyo course.
La sivyo jiandae maisha ya kujisifu mtaan kua umefka chuo kikuu lakn huna ajira
Kwenye ugum na urahis wake hapo cfaham.
Ila kwenye swala la ajira pagum kama hauna connection.
Kama n poor peasant kama mm ckushaur kusoma iyo course.
La sivyo jiandae maisha ya kujisifu mtaan kua umefka chuo kikuu lakn huna ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.