Limeokoa watu kwani ni ndege ya kijeshi? Bila hata hiyo ndege bado watu wangerudi tu nyumbani. Ww tuambie hizo ndege zimeleta faida gani hadi sasa, sio porojo za kuokoa watu.
Nikimbie moja kwa moja katika hoja husika, nimeona na kusikia Dege la hapa kazi tu limeokoa watu uko Sudani. Je limebagua watu waliokuwa wanatukana?
Cc Pascal Mayalla kwa msaada kama limebagua watu
Moderate Wstu = watu