Dear UKAWA

Dear UKAWA

Jumanne Mkota

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,994
Reaction score
1,770
Wapendwa ndugu zangu wa UKAWA,

Sasa hivi tumefanikiwa kumpa mwenyekiti wa magamba kazi nzito ya kuamua kuhusu vibaka wavaa suti wa ESCROW,kazi ambayo itawachukua muda kuamua ingawa tumeibiwa. Kazi ya kufanya sasa ni kuhakikisha walipa kodi wanaminimize kiwango cha wizi kinachofanywa na hao vibaka wa CCM model mpya.

Dear wana UKAWA ,Tayari tuna makubaliano ya kushirikiana katika chaguzi mbalimbali! Siwaoni majukwaani NCCR Mageuzi na NLD na sasa tuna count down kufikia tarehe ya kupiga kura!

ESCROW imefika ilipofikia, Kafulila,Mbatia,Machali na wengine kutoka NCCR na NLD tokeni ndani tukapambane, mim ni mwanachadema kindakindaki ninayeamini katika ushirika wa UKAWA lkn sifurahi kuona vyama vya UKAWA vinavyotoka ni viwili.

OMBI; Nadhani kwenye makubaliano ya UKAWA sio kuachiana tu maeneo ya kugombea bali pia kusaidiana medani ili mwanaukawa ashinde sasa kule lindi na Mtwara naona CHADEMA wamewaachia CUF tu kwa nini makamanda wa CHADEMA waliopo huko wasipande kwenye majukwaa ya CUF na campeign za door to door kuwanadi CUF? Au strong hold za NCCR Mageuzi kuna pia wingi wa CHADEMA kwanin NCCR Mageuzi wasiongoze mapambano huku makamanda wa CHADEMA wakinadi wagombea wa NCCR Mageuzi door to door?

Naomba siku moja nione dr. Slaa au Mnyika au Lema nimuone Lindi na Mtwara akinadi ngangari za CUF huku Maalim Seif ,Magreth Sakaya,Mtatiro au Jusa wakiwa Mwanga,Hedaru,Iramba na kwingineko wakinadi makamanda hivyo hivyo kwa NCCR Mageuzi na NLD.

Naamini wazo hili litaleta tija na kumtimulia mbali jambazi CCM.

Nawasilisha.
 
Sisi sote kama watanzania hasa wale tupandao daladala tujitahidi kuanzisha mijadala ya Elimu ya Uraia na kuwaweka watanzania wengi kwanye upeo wa kujua kwanini kura yake ni muhimu sana katika kuliwekea Taifa viongo ziwanzuri na wazalendo
 
Leo kuna jamaa m1 nilimpa lift asbh nikiwa naenda kazini, ni kijana tu kama mimi, acha nianze kumhubiria siasa mpaka akajiona mjinga kwa kukataa kuhusika kupiga kura. nimemwachia assignment. Ni tabia yangu kuweka wazi uchafu wa ccm hata kama niko kwenye daladala au ndani ya basi.

Naichukia sana ccm kutoka moyoni
 
Wapendwa ndugu zangu wa UKAWA,

Sasa hivi tumefanikiwa kumpa mwenyekiti wa magamba kazi nzito ya kuamua kuhusu vibaka wavaa suti wa ESCROW,kazi ambayo itawachukua muda kuamua ingawa tumeibiwa. Kazi ya kufanya sasa ni kuhakikisha walipa kodi wanaminimize kiwango cha wizi kinachofanywa na hao vibaka wa CCM model mpya.

Dear wana UKAWA ,Tayari tuna makubaliano ya kushirikiana katika chaguzi mbalimbali! Siwaoni majukwaani NCCR Mageuzi na NLD na sasa tuna count down kufikia tarehe ya kupiga kura!

ESCROW imefika ilipofikia, Kafulila,Mbatia,Machali na wengine kutoka NCCR na NLD tokeni ndani tukapambane, mim ni mwanachadema kindakindaki ninayeamini katika ushirika wa UKAWA lkn sifurahi kuona vyama vya UKAWA vinavyotoka ni viwili.

OMBI; Nadhani kwenye makubaliano ya UKAWA sio kuachiana tu maeneo ya kugombea bali pia kusaidiana medani ili mwanaukawa ashinde sasa kule lindi na Mtwara naona CHADEMA wamewaachia CUF tu kwa nini makamanda wa CHADEMA waliopo huko wasipande kwenye majukwaa ya CUF na campeign za door to door kuwanadi CUF? Au strong hold za NCCR Mageuzi kuna pia wingi wa CHADEMA kwanin NCCR Mageuzi wasiongoze mapambano huku makamanda wa CHADEMA wakinadi wagombea wa NCCR Mageuzi door to door?

Naomba siku moja nione dr. Slaa au Mnyika au Lema nimuone Lindi na Mtwara akinadi ngangari za CUF huku Maalim Seif ,Magreth Sakaya,Mtatiro au Jusa wakiwa Mwanga,Hedaru,Iramba na kwingineko wakinadi makamanda hivyo hivyo kwa NCCR Mageuzi na NLD.

Naamini wazo hili litaleta tija na kumtimulia mbali jambazi CCM.

Nawasilisha.
Kumbe wewe chadema nilikuwa sijui bora tumekujua sasa.
 
Ukweli nionavyo mimi ushirika huu haujapigiwa debe sana hasa huku kwetu vijijini. Ubinafsi na tamaa vinahisiwa kuharibu ushirika huu. Katika uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa migogoro imezuka, sijui itakapokuja issue ya Ubunge na Udiwani takuwa vipi.
 
Leo kuna jamaa m1 nilimpa lift asbh nikiwa naenda kazini, ni kijana tu kama mimi, acha nianze kumhubiria siasa mpaka akajiona mjinga kwa kukataa kuhusika kupiga kura. nimemwachia assignment. Ni tabia yangu kuweka wazi uchafu wa ccm hata kama niko kwenye daladala au ndani ya basi.

Naichukia sana ccm kutoka moyoni

Mie zaidi yako naichukia ccm kutoka ufungun mwa moyo wangu ctaki ata kuwaona kbsa yan mbka juzi nmemfukuza mke wangu nilkuta vitenge vya ccm chumbn kwetu nlichukia sana yan ndpo nikamfukuza kanichukiza sana yan
 
Mie zaidi yako naichukia ccm kutoka ufungun mwa moyo wangu ctaki ata kuwaona kbsa yan mbka juzi nmemfukuza mke wangu nilkuta vitenge vya ccm chumbn kwetu nlichukia sana yan ndpo nikamfukuza kanichukiza sana yan

Ha ha ha ha daaah, wf wangu na mm full upinzani, mwanangu ana miaka mi2 tu ndo anashika kasi ya kuongea tayari ameshajua kutamka neno ukawa, tv ikiwashwa tu utamsikia akisema baba ukawa, tumejiandikisha kupiga kura serikali za mitaa. Tuichukie kwa vitendo pia
 
Ha ha ha ha daaah, wf wangu na mm full upinzani, mwanangu ana miaka mi2 tu ndo anashika kasi ya kuongea tayari ameshajua kutamka neno ukawa, tv ikiwashwa tu utamsikia akisema baba ukawa, tumejiandikisha kupiga kura serikali za mitaa. Tuichukie kwa vitendo pia
samaki2011 una raha mwenzangu mbna mm ningenenepa kwa familia yngu kuniunga mkono kua upnzan lkn yule mwanamke alkua anawapa sumu y kccm
 
Last edited by a moderator:
Kikubwa kinacho hitajika ni kujiandikisha na kuaambia ndugu jamaa na marafiki umuhum wa kupiga kura na kuchagua kiongozi wa kumtetea sio hao waliosema mabomba ya maji yatatoa maziwa kumbe wanadanganya na kuna maraia wengine wakipewa wali,kanga na t-shirt akili inazid kulala kwa kuvimbiwa wali.ukipewa hela chukua ila chagua ila chagua kiongozi bora sio bora kiongoz Tanzania bila wezi inawezekana vijana tuongeze nguvu zaid ya hapa tulipo
 
Mie zaidi yako naichukia ccm kutoka ufungun mwa moyo wangu ctaki ata kuwaona kbsa yan mbka juzi nmemfukuza mke wangu nilkuta vitenge vya ccm chumbn kwetu nlichukia sana yan ndpo nikamfukuza kanichukiza sana yan

Msamehe bwana ,muelimishe taratibu mamaaaaaaa!
 
Kumbe wewe chadema nilikuwa sijui bora tumekujua sasa.

kuna ubaya akiwa CHADEMA?Mbona wewe ni CCM lakini hakuna mtu anakufuatilia?Duh kaka unaghubu!!!!!!!!!!:hatari::hatari::hatari:
 
samaki2011 una raha mwenzangu mbna mm ningenenepa kwa familia yngu kuniunga mkono kua upnzan lkn yule mwanamke alkua anawapa sumu y kccm

Atabadilika tu, chdm/ukawa sasa ivi ndo habari ya mujini kila sehemu mimimnimeshangaa sana hadi kule kwa bibi kijijini interior wana uchu mkubwa na upinzani na wako tayari hata kutoa madebe ya mahindi kuchangia chama
 
Back
Top Bottom