upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,086
- 4,521
Dear Nyerere uliacha wababu wanalea wajukuu sahv wababu wanaoa wajukuu.
Dear nyerere interview cku hizi wa mwisho ndo anapata kazi.
Dear Nyerere uliacha simba akiwa mkali kuliko wanyama wote lakini saizi binadamu anaongoza kwa ukali, roho mbaya, asiye na huruma, muuaji, asiyejua nini maana ya upendo.
Dear Nyerere ulikemea ukabila lakini saiz wanajikusanya wa kigoma tu kuimba.
Dear nyerere sherehe ilikuwa ni moja tu ya uhuru saivi ata cku ya besdei ya wema hakuna kazi.
Dear nyeree ulitusaidia kupunguza gharama za maisha kwa kuchangia ujenzi wa shule,hospitali,barabara,na vitu vingine vya maendeleo lkn sasa michango mingi ni harusi na misiba.
Dear nyerere uliacha ng'ombe mbuzi kondoo wanachunwa ngozi baada ya kuchinjwa lkn siku hz hd binadamu anachunwa ngozi.....
Dear nyerere ulituachia kusaidia majeruhi ktk ajali lkn sasa kupiga picha na kupost kwenye mitandao ndo habari ya mjini.
M.A.P Nyerere.
Dear nyerere interview cku hizi wa mwisho ndo anapata kazi.
Dear Nyerere uliacha simba akiwa mkali kuliko wanyama wote lakini saizi binadamu anaongoza kwa ukali, roho mbaya, asiye na huruma, muuaji, asiyejua nini maana ya upendo.
Dear Nyerere ulikemea ukabila lakini saiz wanajikusanya wa kigoma tu kuimba.
Dear nyerere sherehe ilikuwa ni moja tu ya uhuru saivi ata cku ya besdei ya wema hakuna kazi.
Dear nyeree ulitusaidia kupunguza gharama za maisha kwa kuchangia ujenzi wa shule,hospitali,barabara,na vitu vingine vya maendeleo lkn sasa michango mingi ni harusi na misiba.
Dear nyerere uliacha ng'ombe mbuzi kondoo wanachunwa ngozi baada ya kuchinjwa lkn siku hz hd binadamu anachunwa ngozi.....
Dear nyerere ulituachia kusaidia majeruhi ktk ajali lkn sasa kupiga picha na kupost kwenye mitandao ndo habari ya mjini.
M.A.P Nyerere.