Miss ferrar
Senior Member
- Apr 7, 2016
- 199
- 172
Endelea kukariri
Alishatanguliza, bitter trueth, kwa kiswahili ukweli mchungu.haya madude ya kucopy and paste yanaboa.
Mtoa uzi katimoa kama ilivyo huku uswazi kwetu.hspa wakubisha abishe tu kwa kuwa ni hiari yake lkn ni ukweli mtupu.2,3,5 and 9 kwakweli vimenigusa ni kweli kabisa... Well said mtoa uzi
Wakati mwingine ubishi ni tabia..ila hapo kaguda ikuluMtoa uzi katimoa kama ilivyo huku uswazi kwetu.hspa wakubisha abishe tu kwa kuwa ni hiari yake lkn ni ukweli mtupu.
Bitter truth, swallow it hahahahaha acha kuponda kila kitu ungepita kimya kimyahaya madude ya kucopy and paste yanaboa.
haya madude ya kucopy and paste yanaboa.
Wa kwanza huyo ......jiwe la gizani limempata........haya madude ya kucopy and paste yanaboa.
Well said Heart. Kwenye ukweli, tuseme ukweli!2,3,5 and 9 kwakweli vimenigusa ni kweli kabisa... Well said mtoa uzi
Usisahau kum-tag atotoHiyo namba 2 ni somo ambalo wanawake wengi wamechagua kufeli
ahaaaa wewe ni mr kuwait??Itafasiri iweke kwa kiswahili....!!
maana umenichenga kidogo....
Hata wakichukia wastahmil tu huo ndio ukweli(in sheikh kipozeo voice).Ila ujumbe unaeleweka vizuri sana..
Umefanya vema dawa chungu lakini inaponyesha kama sukari ghali tafuta hata pipi kifua kama sio pipi machungwa.nimemeza km nilivyoshauriwa japimo vichungu! imebidi sukari isiwe mbali japo kwa kulamba maana nayo bei yake mmmh km uzi huu tu!
Teh teh.. huyo ndo ana sifuri kabisa
cc atoto