Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,764
Drill is the same: kila anayehama "acha aende zake"... eti alikuwa na mapungufu flani, japo laiti ungejaribu kuyataja mapungufu hayo kabla hajahama ungeambulia matusi.
Both Chadema na CCM wana uhasama mkubwa dhidi ya ukweli. Waambie ukweli utaitwa kila aina ya jina baya kama si kutukanwa kila aina ya tusi.
Lakini ukweli una tabia moja ya msingi: kuukataa ukweli hakuufanyi kuwa uongo. Ukweli hubaki kuwa ukweli.
Na moja ya ukweli ambao ndugu zangu wa Chadema wanaukwepa ni kwamba kuna virusi vinavyokitafuna chama hicho, virusi vya asili (vinavyopandikizwa na Kitengo: mbunge mmoja wa chama hicho ni afisa wa kitengo sambamba na diwani mmoja) na virusi vilivyoingia kwa kasi mwaka 2015 wakati chama hicho kilipolamba matapishi yake - kwa kumwandama Lowassa miaka 9 mfululizo kuwa ni fisadi kabla ya kumpokea na kumfanya mgombea urais.
Intelijensia ya Chadema ilikuwa imara sana enzi za kina Dokta Slaa. Ndio iliyoiwezesha Chadema kupata nyaraka mbalimbali muhimu zilizokiwezesha chama hicho kuwa mahiri katika kuibua ufisadi.
Na intelijensia hiyo ilikuwa mahiri pia katika kubaini hujuma mbalimbali dhidi ya chama hicho.
Yayumkinika kuhisi kuwa laiti ingekuwa zama hizo, basi huenda wenye mipango ya kuhama wangejulikana mapema na pengine kuchukuliwa hatua stahili.
Ni rahisi kujihadaa kuwa "acha waende" ilhali hamjui WHO IS NEXT. Kwa sababu hata Lowassa alikuwa anasema hivyo hivyo "acha waende" lakini nae kafuata mkumbo.
Ni rahisi kujihadaa kuwa hamahama hii haina athari lakini kama Chadema itajihangaisha kufikiria athari za hamahama hiyo sio kwa wanachama wao bali "watu wasio na vyama" - kundi muhimu kabisa katika siasa za chaguzi za Tanzania - itabaini kuwa ina kazi ya ziada kulishawishi kundi hilo kuwa chama hicho kinastahili kuendelea kuaminiwa.
Back to swali la msingi: Je Chadema inaweza kutuambia WHO IS NEXT (and may be WHO ISN'T)?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe jasusi mzoefu hujui!Drill is the same: kila anayehama "acha aende zake"... eti alikuwa na mapungufu flani, japo laiti ungejaribu kuyataja mapungufu hayo kabla hajahama ungeambulia matusi.
Both Chadema na CCM wana uhasama mkubwa dhidi ya ukweli. Waambie ukweli utaitwa kila aina ya jina baya kama si kutukanwa kila aina ya tusi.
Lakini ukweli una tabia moja ya msingi: kuukataa ukweli hakuufanyi kuwa uongo. Ukweli hubaki kuwa ukweli.
Na moja ya ukweli ambao ndugu zangu wa Chadema wanaukwepa ni kwamba kuna virusi vinavyokitafuna chama hicho, virusi vya asili (vinavyopandikizwa na Kitengo: mbunge mmoja wa chama hicho ni afisa wa kitengo sambamba na diwani mmoja) na virusi vilivyoingia kwa kasi mwaka 2015 wakati chama hicho kilipolamba matapishi yake - kwa kumwandama Lowassa miaka 9 mfululizo kuwa ni fisadi kabla ya kumpokea na kumfanya mgombea urais.
Intelijensia ya Chadema ilikuwa imara sana enzi za kina Dokta Slaa. Ndio iliyoiwezesha Chadema kupata nyaraka mbalimbali muhimu zilizokiwezesha chama hicho kuwa mahiri katika kuibua ufisadi.
Na intelijensia hiyo ilikuwa mahiri pia katika kubaini hujuma mbalimbali dhidi ya chama hicho.
Yayumkinika kuhisi kuwa laiti ingekuwa zama hizo, basi huenda wenye mipango ya kuhama wangejulikana mapema na pengine kuchukuliwa hatua stahili.
Ni rahisi kujihadaa kuwa "acha waende" ilhali hamjui WHO IS NEXT. Kwa sababu hata Lowassa alikuwa anasema hivyo hivyo "acha waende" lakini nae kafuata mkumbo.
Ni rahisi kujihadaa kuwa hamahama hii haina athari lakini kama Chadema itajihangaisha kufikiria athari za hamahama hiyo sio kwa wanachama wao bali "watu wasio na vyama" - kundi muhimu kabisa katika siasa za chaguzi za Tanzania - itabaini kuwa ina kazi ya ziada kulishawishi kundi hilo kuwa chama hicho kinastahili kuendelea kuaminiwa.
Back to swali la msingi: Je Chadema inaweza kutuambia WHO IS NEXT (and may be WHO ISN'T)?
Sent using Jamii Forums mobile app
Makamanda Mechanganyikiwa Hata hamuelewi mnachopinga mnachokataa au mnachokubali. Ngija huyo mgonjwa wa Belgium naye akirudisha majeshi na kujisalimisha CCMChahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.
Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una haja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.
Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.
Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
Sasa hivi ndio mnakiri kura milioni sita zilitokana na kazi nzuri ya viongozi waliokuwepo mbona mlikuwa mnamshambulia Dr. SlaaChahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.
Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una haja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.
Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.
Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
WHO IS NEXT, answer please!Chahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.
Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una haja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.
Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.
Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
Makamanda Mechanganyikiwa Hata hamuelewi mnachopinga mnachokataa au mnachokubali. Ngija huyo mgonjwa wa Belgium naye akirudisha majeshi na kujisalimisha CCM