Stanley. JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 659 Reaction score 305 Sep 24, 2013 #1 Mkuu wa wilaya Urambo Bi. Anna Magoha amefariki dunia. Source TBC.
I isotope JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 2,392 Reaction score 817 Sep 24, 2013 #3 Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 19,986 Reaction score 24,014 Sep 24, 2013 #4 Pole wafiwa!!kufa kufaana!
Averos JF-Expert Member Joined Aug 6, 2010 Posts 994 Reaction score 703 Sep 24, 2013 #5 anna magoha sec pale liwale ilipataje jina la marhemu?
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Sep 24, 2013 #6 ah... mungu amuweke mahala stahili....
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,932 Reaction score 30,045 Sep 24, 2013 #7 Stanley. said: Mkuu wa wilaya Urambo Bi. Anna Magoha amefariki dunia. Source TBC. Click to expand... R. I. P Gamba
Stanley. said: Mkuu wa wilaya Urambo Bi. Anna Magoha amefariki dunia. Source TBC. Click to expand... R. I. P Gamba
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 1,996 Reaction score 617 Sep 24, 2013 #8 Mungu amrehemu mwenda zake na awape Tahfifu wafiliwa wote
K kigoda JF-Expert Member Joined Oct 15, 2012 Posts 1,781 Reaction score 359 Sep 24, 2013 #9 isotope said: Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Click to expand... ngoja nishangae kikinga'' mwee vabinamu hata OSONZA? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
isotope said: Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Click to expand... ngoja nishangae kikinga'' mwee vabinamu hata OSONZA?
General8 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 996 Reaction score 862 Sep 24, 2013 #10 Shonza ukuu wa wilaya ashapata mpaka dakika hii, wakimnyima watakuwa hawajamtendea haki kabisa maana anasota sana
Shonza ukuu wa wilaya ashapata mpaka dakika hii, wakimnyima watakuwa hawajamtendea haki kabisa maana anasota sana
I isotope JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 2,392 Reaction score 817 Sep 24, 2013 #11 kigoda said: ngoja nishangae kikinga'' mwee vabinamu hata OSONZA? Click to expand... Ndiyo, huyu huyu Osonza!
kigoda said: ngoja nishangae kikinga'' mwee vabinamu hata OSONZA? Click to expand... Ndiyo, huyu huyu Osonza!
I isotope JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 2,392 Reaction score 817 Sep 24, 2013 #12 General8 said: Shonza ukuu wa wilaya ashapata mpaka dakika hii, wakimnyima watakuwa hawajamtendea haki kabisa maana anasota sana Click to expand... Naye asibweteke tu, lazima ajipitishepitishe na kutabasamu kwa wakubwa ili wamuone!
General8 said: Shonza ukuu wa wilaya ashapata mpaka dakika hii, wakimnyima watakuwa hawajamtendea haki kabisa maana anasota sana Click to expand... Naye asibweteke tu, lazima ajipitishepitishe na kutabasamu kwa wakubwa ili wamuone!
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,578 Reaction score 28,701 Sep 24, 2013 #13 isotope said: Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Click to expand... Mkuu huyu ashapoteza muelekeo hakuna anayemtaka, hata kumpa kijiji hakuna anayetaka
isotope said: Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Click to expand... Mkuu huyu ashapoteza muelekeo hakuna anayemtaka, hata kumpa kijiji hakuna anayetaka
Gefu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 6,929 Reaction score 2,567 Sep 24, 2013 #14 ...huyu ndo aliyekuwa igunga akachakachua kura zetu..? Oooh akarest mahali stahiki,poleni wafiwa Mungu awatie nguvu ktk wakati huu mgumu...
...huyu ndo aliyekuwa igunga akachakachua kura zetu..? Oooh akarest mahali stahiki,poleni wafiwa Mungu awatie nguvu ktk wakati huu mgumu...
Kimilidzo JF-Expert Member Joined Jan 3, 2011 Posts 1,346 Reaction score 627 Sep 24, 2013 #15 RIP DC,, Kuna maCCM kibao saizi yanapiga jaramba kwa furaha
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 61,023 Reaction score 36,888 Sep 24, 2013 #16 Rip madamazele
Gefu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 6,929 Reaction score 2,567 Sep 24, 2013 #17 ...shonza anakazi maalum kwanza,akimaliza bwanamdogo atakuwa hayupo,so hana chake tena...
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,102 Sep 24, 2013 #18 isotope said: Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Click to expand... Hata shoga Mwampamba akae mkao wa tayari. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
isotope said: Juliana Shonza turotiiii....! Ukuu wa wilaya huoooo, nafasi ishapatikana! Click to expand... Hata shoga Mwampamba akae mkao wa tayari.
BHULULU JF-Expert Member Joined Jun 28, 2012 Posts 4,994 Reaction score 2,044 Sep 24, 2013 #19 Mungu akuweke panapostahili DC,poleni wafiwa.
LiverpoolFC JF-Expert Member Joined Apr 12, 2011 Posts 11,496 Reaction score 3,388 Sep 24, 2013 #20 Apumzike kwa Amani yake Bwana wetu!