DC Same apokea madarasa na mradi mkubwa wa maji

DC Same apokea madarasa na mradi mkubwa wa maji

acer

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
1,595
Reaction score
142
Ilikuwa ni siku ya furaha mno kwa wananchi wa jamii ya wafugaji kitongoji cha Endevesi, kata ya Njoro, Wilayani Same. Hapo Tar. 12/09/2017 wakati Mh. Rosemary Senyamule - DC wa Same akipokea majengo ya Shule ya msingi kwa niaba ya serikali.
Pamoja Na mradi wa Maji kwa ajili ya wananchi hao wasiopungua 6000.

Shule hiyo yenye madarasa 6, ofisi za walimu, vyoo Na nyumbani za walimu. Imejengwa kwa ushirikiano wa masista wa Grail, Joy of faith Na Korea Hope Foundation.

Jamii hii ya Endevesi walikuwa wakipata Huduma hizi umbali wa km. Zaidi ya 5 Na kupelekea watoto wengi kuwa watoro.

" Shule tumejengewa, serikali tutahakikisha tunapanga walimu Na shule hii inaanza 2018. Wananchi hakikisheni mnawaleta watoto shuleni. Nasi tutawachukulia hatua wote watakaokuwa watoro."

Aliwashukuru pia kwa kuunga mkono juhudi za Mh. Rais wa Tanzania katika kuhimiza elimu.
9fac321a14eb68964dce5d016036b495.jpg
e745691fdb7c78981b9d6c1898d9eb05.jpg
 
Ilikuwa ni siku ya furaha mno kwa wananchi wa jamii ya wafugaji kitongoji cha Endevesi, kata ya Njoro, Wilayani Same. Hapo Tar. 12/09/2017 wakati Mh. Rosemary Senyamule - DC wa Same akipokea majengo ya Shule ya msingi kwa niaba ya serikali.
Pamoja Na mradi wa Maji kwa ajili ya wananchi hao wasiopungua 6000.

Shule hiyo yenye madarasa 6, ofisi za walimu, vyoo Na nyumbani za walimu. Imejengwa kwa ushirikiano wa masista wa Grail, Joy of faith Na Korea Hope Foundation.

Jamii hii ya Endevesi walikuwa wakipata Huduma hizi umbali wa km. Zaidi ya 5 Na kupelekea watoto wengi kuwa watoro.

" Shule tumejengewa, serikali tutahakikisha tunapanga walimu Na shule hii inaanza 2018. Wananchi hakikisheni mnawaleta watoto shuleni. Nasi tutawachukulia hatua wote watakaokuwa watoro."

Aliwashukuru pia kwa kuunga mkono juhudi za Mh. Rais wa Tanzania katika kuhimiza elimu.
9fac321a14eb68964dce5d016036b495.jpg
e745691fdb7c78981b9d6c1898d9eb05.jpg
[/Q
 
Ilikuwa ni siku ya furaha mno kwa wananchi wa jamii ya wafugaji kitongoji cha Endevesi, kata ya Njoro, Wilayani Same. Hapo Tar. 12/09/2017 wakati Mh. Rosemary Senyamule - DC wa Same akipokea majengo ya Shule ya msingi kwa niaba ya serikali.
Pamoja Na mradi wa Maji kwa ajili ya wananchi hao wasiopungua 6000.

Shule hiyo yenye madarasa 6, ofisi za walimu, vyoo Na nyumbani za walimu. Imejengwa kwa ushirikiano wa masista wa Grail, Joy of faith Na Korea Hope Foundation.

Jamii hii ya Endevesi walikuwa wakipata Huduma hizi umbali wa km. Zaidi ya 5 Na kupelekea watoto wengi kuwa watoro.

" Shule tumejengewa, serikali tutahakikisha tunapanga walimu Na shule hii inaanza 2018. Wananchi hakikisheni mnawaleta watoto shuleni. Nasi tutawachukulia hatua wote watakaokuwa watoro."

Aliwashukuru pia kwa kuunga mkono juhudi za Mh. Rais wa Tanzania katika kuhimiza elimu.
9fac321a14eb68964dce5d016036b495.jpg
e745691fdb7c78981b9d6c1898d9eb05.jpg
Sasa hapo kafanya kazi gani mpaka iletwe humu
 
Back
Top Bottom