Kutokana na info zilizonifikia, rais Jakaya Kikwete ameshangazwa na support aliyopiwa DC Albert Mnali kutoka kwa sehemu kubwa ya jamii kwa kitendo cha kuwatandika mboko walimu wazembe wilayani mwake.
Mpaka leo hii, Rais Kikwete anakua anasita kumkabidhi barua rasmi ya kumvua madaraka mtumishi huyo wa umma. Inasemekana bado anajadili uamuzi wake wa kumvua madaraka kama ulikua wa busara au alikurupuka.
Shime bwana Mnali wengine 10 kama wewe, naamini tungekua waliopo nchi kama Malaysia, Singapore, Thailand, India hata China.
Mpaka leo hii, Rais Kikwete anakua anasita kumkabidhi barua rasmi ya kumvua madaraka mtumishi huyo wa umma. Inasemekana bado anajadili uamuzi wake wa kumvua madaraka kama ulikua wa busara au alikurupuka.
Shime bwana Mnali wengine 10 kama wewe, naamini tungekua waliopo nchi kama Malaysia, Singapore, Thailand, India hata China.