KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,947
- 9,461
Hivi hawa dawaco tegetammelogwa??au nyie kazi zenu nikukimbizana na wenye mahotel mkubwamakubwa??
Aingi akilini shirika linatumia pesa nyingu kununua mitamb yakuzalisha maji halafu maji yanapatikana nyie mnachezea kwakuyaona yanamwagika misimu miwili yote nanyie mkiwa mashuhuda!!Ya elekea meneja wakanda yakinondoni hajui kazi yake.
Mfano njia yakwenda katika shule ya Pius Msekwa karibu na kituo cha polisi kuna mabomba yamekatika yanatoa maji miaka 2-3 yanamwagika tu!!
Sijui ninani anawaongoza hawa watu inatia kero na kinyaa!!!
DAWASCO AMKENI FANYENI KAZI KWAUFANISI.
Aingi akilini shirika linatumia pesa nyingu kununua mitamb yakuzalisha maji halafu maji yanapatikana nyie mnachezea kwakuyaona yanamwagika misimu miwili yote nanyie mkiwa mashuhuda!!Ya elekea meneja wakanda yakinondoni hajui kazi yake.
Mfano njia yakwenda katika shule ya Pius Msekwa karibu na kituo cha polisi kuna mabomba yamekatika yanatoa maji miaka 2-3 yanamwagika tu!!
Sijui ninani anawaongoza hawa watu inatia kero na kinyaa!!!
DAWASCO AMKENI FANYENI KAZI KWAUFANISI.