Dawasco tegeta usingizi gani huo????

Dawasco tegeta usingizi gani huo????

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,947
Reaction score
9,461
Hivi hawa dawaco tegetammelogwa??au nyie kazi zenu nikukimbizana na wenye mahotel mkubwamakubwa??
Aingi akilini shirika linatumia pesa nyingu kununua mitamb yakuzalisha maji halafu maji yanapatikana nyie mnachezea kwakuyaona yanamwagika misimu miwili yote nanyie mkiwa mashuhuda!!Ya elekea meneja wakanda yakinondoni hajui kazi yake.
Mfano njia yakwenda katika shule ya Pius Msekwa karibu na kituo cha polisi kuna mabomba yamekatika yanatoa maji miaka 2-3 yanamwagika tu!!
Sijui ninani anawaongoza hawa watu inatia kero na kinyaa!!!
DAWASCO AMKENI FANYENI KAZI KWAUFANISI.
 
Back
Top Bottom