Dawasco tatizo nini?

Dawasco tatizo nini?

mfumbi

Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
21
Reaction score
0
Sinza A leo ni siku ya sita hakuna maji ya bomba, na hakuna taharifa yoyote juu ya ukosekanaji wa maji hayo: kutoka mamlaka husika hata serikali ya mitaa hawatoi taharifa ya tatizo hizo; hivyo basi mlipuko wa magonjwa ukitokea sinza watu wasishangae habari ndio hiyo
 
kuna tatizo kubwa dawasco sisi wakazi wa Chang'ombe bora ambao tuliunganishwa na visima tuna zaidi ya miezi miwili hatupati maji tulipojaribu kuuliza tukaambi wa umeme umekatwa sababu dawasco hawalipi bill ingawa sisi wateja tunalipa bill kama kawaida baadae tukasikia mkurugenzi wa dawasco anastaafu na pale makao makuu pia umeme umekatwa wanatumia jenereta ndio maana hafatilii nikajaribu kuingia kwenye tovuti ya baraza la walaji la ewura nikakuta e mail yao haifanyi kazi
 
tangu lini dawasco wanajali wateja wao....they dnt care
 
tangu lini dawasco wanajali wateja wao....they dnt care

Huku Bunju zaidi ya wiki 2 maji hakuna na hatujui tatizo nini! Miundo mbinu mibovu sawa,Bajeti finyu sawa, lakini hata customer care? Zaidi ya wiki 2 bila maji bila taarifa walau tujue lini tatizo linaisha tujipange!
 
Nasikia mkurugenzi yuko likizo akirudi ndio ufumbuzi wa maji Dar utapatikana. Wananchi mnaombwa kuwa wavumilivu ktk kipindi hiki kigumu. Tumieni hizi mvua kukusanya maji yakutosha.
 
sisi tukichelewa kulipa bill tu wanakuja kukataa mara moja, ndio mkataba kwa wateja unvyosema? sisi tusipopata maji tuchukue hatua gani? dhidi yao
 
sisi tukichelewa kulipa bill tu wanakuja kukataa mara moja, ndio mkataba kwa wateja unvyosema? sisi tusipopata maji tuchukue hatua gani? dhidi yao

Kasi yao ya kudai siku hizi iendane na huduma otherwise watapata negative respond kutoka kwa public.
Bili ikichelewa kidogo jioni unakuta wameshakata lakini wao wako very slow kwenye huduma.
 
Mvua ilikinukisha ruvu juu na chini, kuweni wapole
 
Sisi huku tabata ni miezi minne sasa tunatumia MAJI ya mvua tuu maana wametususa
 
Back
Top Bottom