FADHILI KADEDE
Member
- Aug 1, 2013
- 17
- 2
Yapata wiki sasa mabomba dawasco haya maji mimi binafsi sijui shida nini?
Kuna jamaa yangu yuko tbt anasema wao wana wiki mbili maji hakunaYapata wiki sasa mabomba dawasco haya maji mimi binafsi sijui shida nini?
wamesema kuna upungufu wa maji mpaka huko mlandizi .maji yamepungua kutoka lita 800000 mpaka lita 500000 ila hawajasema kwanini yamepungua.ila wamesema mafundi wanashughulika