Jamani wenye taarifa ya maji kupatikana Dar kwa wakazi wa Tegeta,Mbezi beach Mwenge mpaka Town .Tunaomba kujua jamani kwani hali mbaya sana huku majumbani kwetu hasa sisi akina mama.
Leo ofisini nimeshindwa kukata gogo nimerudi nalo mapaka home,aisee nina hasira sana na haya magamba yanatutesa mno!!!Upanga haina maji toka ijumaa.
:sad:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.