Dawa gani hiyo ya kuweka ukeni? Inaitwaje? Umeipata wapi?Habari za sa hizi wana jf.nilkuwa nauliza kunamadahara yoyote ukitumia dawaa ya kuweka ukeni pindi unapokuwa mjamzito....kwa ajili ya tiba ya miwasho??
Dawa gan tena?Habari za sa hizi wana jf.nilkuwa nauliza kunamadahara yoyote ukitumia dawaa ya kuweka ukeni pindi unapokuwa mjamzito....kwa ajili ya tiba ya miwasho??
Nimeficha omo hakuna povu loloteMm najua dawa ya kuweka ukeni n ile yakufanya uchi mnato... Gusa unate.. Ndo wataka hyo??
Ya pili n vidonge jina nmelisahau ukiwa n fungus unavgumbukiza kwa bb na zngn tofaut za kumeza
..... Wanaume leten povu
Afadhariiii..maana wavulana nyie humu jf mhh..Nimeficha omo hakuna povu lolote
Hakuna madhara kabisa.Cha msingi ni Ku maintain personal hygiene upate matokeo bora ya tiba yakoHabari za sa hizi wana jf.nilkuwa nauliza kunamadahara yoyote ukitumia dawaa ya kuweka ukeni pindi unapokuwa mjamzito....kwa ajili ya tiba ya miwasho??
Gynazole, nystatin na nyinginezo kama hizo, zinapatikana kwenye maduka ya dawa na hospitalini kwa wingi tuDawa gani hiyo ya kuweka ukeni? Inaitwaje? Umeipata wapi?
Haina shida,Gynazole, nystatin na nyinginezo kama hizo, zinapatikana kwenye maduka ya dawa na hospitalini kwa wingi tu
Sioni tatizo hapo kama ni doctor aliyekupa hizo dawa inamaana anajua tatizo lakoHabari za sa hizi wana jf.nilkuwa nauliza kunamadahara yoyote ukitumia dawaa ya kuweka ukeni pindi unapokuwa mjamzito....kwa ajili ya tiba ya miwasho??
Gynazole haina shida pia ni nzur sana kwa wanawake wajawazito wanaowashwa ukeniGynazole, nystatin na nyinginezo kama hizo, zinapatikana kwenye maduka ya dawa na hospitalini kwa wingi tu