Dawa za kulevya tatizo kwa vijana

Dawa za kulevya tatizo kwa vijana

davie8978

Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
5
Reaction score
0
Vijana mnaombwa kuungana kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwani yamekua yakileta changamoto kubwa ya kuharibu maisha ya vijana hapa nchini hivyo basi taasisi ya vijana inayojulikana kama Tanzania Youth Against Drugs inaomba mjiunge nasi.vijana wenzenu katika kazi hii nzito
 
Back
Top Bottom