Dawa za Kimasai za kupunguza mwili

Dawa za Kimasai za kupunguza mwili

Mama Klaree

Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
8
Reaction score
2
habari wadau. naomba kujua napataje dawa za kimasai za kupunguza mwili zile wanasema ukila unaharisha
 
Fanya mazoez
Kula balance diet usile saaaana
Epuka kunywa soda,pata juisi fresh
Kunywa maj mengi
Dawa za asili asili nyiiiiingi zinaweza kusababisha ini kufeli sababu zinapita moja kwa moja hazijapunguzwa ukali wake
 
habari wadau. naomba kujua napataje dawa za kimasai za kupunguza mwili zile wanasema ukila unaharisha

Weee mama klareee asikuambie mtu hiyo dawa niliwahi kunywa ni shidaaa kwanza kwenye koo unaona kama joto la aina yake linapanda kutoka tumboni ambalo hujawahi lihisi toka uzaliwe na kukereketa juu , sasa twende ndani ya tumbo litakufanyia vitu vya ajabu na mpaka uje upate hicho ulichokusudia utashaaa nakushauri uachane nazo kabisa ni zaidi ya sumu utaenda haj... mpaka ukome uwe na maziwa pembeni.
 
asanteni sana wadau. shukrani ila sasa hayo mazoezi ya kufanya kupungua ndo yepi maana naruka ruka kutwa kama chura na nnahofia kupungia chini tu juu kukabaki. nafanyaje kupungia na kifua au juu in general
 
asanteni sana wadau. shukrani ila sasa hayo mazoezi ya kufanya kupungua ndo yepi maana naruka ruka kutwa kama chura na nnahofia kupungia chini tu juu kukabaki. nafanyaje kupungia na kifua au juu in general

Kwanza haiwezekani kufanya spot reduction, yaani kupungua sehemu fulani ya mwili kwingine kubaki hivyo hivyo. Some parts of the body ni rahisi kupungua kuliko nyingine, na mara yingi tumbo na back fat ndio ngumu kwa watu wengi, sio wote lakini. Endelea kufanya mazoezi ya ukweli na punguza chakula na utaona mafanikio. Kupungua kwa kutumia dawa ya kiafrika au ya kizungu hakudumu, na mara nyingi you only lose water weight.

Kila la heri na safari yako, ni ngumu lakini inawezekana
 
Angalia badala ya kupunguza mwili ukaja kuwa na mwili kama boflo au kutokana na kuhari.sha sana ukapoteza maisha

N.B: Wamasai wanadawa nzuri ila skuhizi kuna wakwere ( wamevaa kama wamasai)
 
Back
Top Bottom