GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,072
- 16,389
Wafilipi 4:13 “Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu”.
Isaya 41:10 “usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu”.
Isaya 40:31 “bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia”.
Kumbukumbu 31: 6 “Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha”.
Isaya 40:29 “Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo”.
1Wakorintho 10:13 “Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili”.
Kutoka 15:2 “Bwana ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza”.
Lala upumzishe kichwa unawaza sana
MaishaI am a self trained therapist. Nahitaji kujua chanzo cha Kuwa na stress ni nini ?
You can visit my DM, Open 24/7.
Kunywa kvantJe ushawahi kupatwa na Stress.?
Hivi ukiwa na stress huwa unafanya nini? Au unafanyeje?
Kama Pombe hunywi au hautaki kunywa.
Na usingizi hupati.(insomnia)
Unafanyeje ili kuondokana nazo.?
Ulifanyeje kuondokana nazo?
NB! Stress ni mbaya,
zinachangia kushusha kinga ya mwili,
zinachangia kuongeza sukari mwilini.( Mbaya kwa mtu wa kisukari)
Zinachangia vidonda vya tumbo.
Zinasababisha mtu kunenepa
Zinapelekea Depression.
nk....
Na mbaya zaidi mtu aweza kujaribu kujitoa uhai ( Suicidal attempt)
Uwezi kunenepa.Je ushawahi kupatwa na Stress.?
Hivi ukiwa na stress huwa unafanya nini? Au unafanyeje?
Kama Pombe hunywi au hautaki kunywa.
Na usingizi hupati.(insomnia)
Unafanyeje ili kuondokana nazo.?
Ulifanyeje kuondokana nazo?
NB! Stress ni mbaya,
zinachangia kushusha kinga ya mwili,
zinachangia kuongeza sukari mwilini.( Mbaya kwa mtu wa kisukari)
Zinachangia vidonda vya tumbo.
Zinasababisha mtu kunenepa
Zinapelekea Depression.
nk....
Na mbaya zaidi mtu aweza kujaribu kujitoa uhai ( Suicidal attempt)
Ata katupigaUwe na stress alafu unenepe?