kwa aliyebahatika kuwasikiliza hawa jamaa jana. aje atuhabarishe habari hapa. Niliwasikililiza kidogo tuu wakati Msando anasema yeye ni ACT- Maendeleo lakini kwa sasa hivi kwenye mabadiliko ni Lowasa! aliyebahatika kuwasikiliza kwa kina tafadhali tuhabarisheni! Pole pole haeleweki hata kwa chumvi na limao badooo haingiii