kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Mwanaume wa wapi vileee ndo anaeweza kusimulia hivyo
Wa dar bila shaka
Mwanaume wa wapi vileee ndo anaeweza kusimulia hivyo
Cha kushangaza hapo anayeonekana wa ajabu ni mchepuko!Ni zaidi ya dharau jamaan hivi viumbe hapana aisee ni kuishi nao kwa akili tu
Haha hahaBila shaka Tabora Moja hii
MmmhCha Mlevi huliwa na MGEMA!
Ongea taratibu MkuuWa dar bila shaka
Ongea taratibu Mkuu
Sioni hata la kusema yaani.Rudi useme neno tuu
Basi sawaSioni hata la kusema yaani.
utamu ukikolea ndo kinachotokeaMichepuko mingine akili zao wanazijua wenyewe!!
Tehh..teehhh...Mwanaume wa wapi vileee ndo anaeweza kusimulia hivyo
HahaTehh..teehhh...
Sitaki ugomvi miee.....
hahahahahah nimecheka kweli jamanLeo narudi kibaruani ile nafika nikaingia ndani, mke wangu kanikaribisha kanipokea maliboro. Baada ya dakika kumi nasikia paaaa mara tena paaaa! Ikabidi nitoke nje namuona mpangaji mwenzangu anatoka kichapo kwa mdada full tandam imetitia utadhani imebeba kabeji.
Yanu inachezee vitasa huku jamaa analalama nani kakwambiaa unifwate nyumbani kwangu, kofi teke, kifuti ili mradi adhabu imfikie.
Mchepuko ukasema huku unagugumia kilio sasa kama ulikuwa hupokei simu yangu mi nifanyeje mi unanionea si ulisema tukutane nyumbani leo mkeo hatokuwepo basi mi na jamaa mwingine tukawaamua huh tukimsihi yule dada ondoka, basi akaondoka kwa unyonge.
Huku nyuma kila mmoja akaendelea na mishe zake mi nikampiga tu mke wake biti nisikie umesema kwa mkewe nitakukata kichwa.
Ila nimejifunza dawa ni kufanya juu ili mradi ukojoe mana ukijifanya fundi mwisho wake ndo huo inakuja mpaka nyumbani.
Na wakati kiumbe cha ajabu ni yeye kumuonyesha mchepuko anapoishiCha kushangaza hapo anayeonekana wa ajabu ni mchepuko!
Umenichekesha sana mkuuInashangaza sana mwanaume kusimulia mambo ya kike tena kwa confidence kama yako....
Sasa amemwambia wakutane kwake mkewe hayupo mara kambadilishia gear angani, huyo hakuwa na hela sasa asila za kutokua na hela kazimalizia kwa mchepukoLeo narudi kibaruani ile nafika nikaingia ndani, mke wangu kanikaribisha kanipokea maliboro. Baada ya dakika kumi nasikia paaaa mara tena paaaa! Ikabidi nitoke nje namuona mpangaji mwenzangu anatoka kichapo kwa mdada full tandam imetitia utadhani imebeba kabeji.
Yanu inachezee vitasa huku jamaa analalama nani kakwambiaa unifwate nyumbani kwangu, kofi teke, kifuti ili mradi adhabu imfikie.
Mchepuko ukasema huku unagugumia kilio sasa kama ulikuwa hupokei simu yangu mi nifanyeje mi unanionea si ulisema tukutane nyumbani leo mkeo hatokuwepo basi mi na jamaa mwingine tukawaamua huh tukimsihi yule dada ondoka, basi akaondoka kwa unyonge.
Huku nyuma kila mmoja akaendelea na mishe zake mi nikampiga tu mke wake biti nisikie umesema kwa mkewe nitakukata kichwa.
Ila nimejifunza dawa ni kufanya juu ili mradi ukojoe mana ukijifanya fundi mwisho wake ndo huo inakuja mpaka nyumbani.
Huyu mleta uzi anajiita mwanaume eti....Umenichekesha sana mkuu
Huyo n mvulana mkuuMbaya zaidi ni pale mwanaume kabisa alie kamilika, eti anakuja jf kutusimulia habari ya mchepuko kupigwa.....
Kweli inashangaza sana.....