Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana