Dawa ya maumivu ya kiuno

Dawa ya maumivu ya kiuno

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana
Nenda hospital
 
Several yoga poses can relieve waist pain by stretching, strengthening the muscles in the lower back, core and hips. Some effective poses include cat-cow, downward facing dog, bridge and child's pose.

images (3).jpeg

images (4).jpeg

images (1).jpeg
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana
Pole kwa tatizo ulilonalo.
Kwa kuwa chanzo cha tatizo unakijua, anza kwa kuacha kubeba vitu vizito.

Pili, kwa muda ambao hulazimiki kukaa, lala chali sehemu ngumu tambarare kuondoa mgandamizo kwenye disc za pingili za mgongo zilizoumia ili zipate muda wa ku-recover angalau kwa uchache.

Tatu, kula vyakula vyenye vitamin B au nunua vitamin B Complex ambayo itachochea utengenezwaji wa chembe hai mpya kwa wingi, chache zitakuwa hizo za sehemu iliyoumia. Muhimu, ule mlo kamili(Balanced diet) ili upate virutubisho vingine vinavyohitajika mwilini, bila kusahau kunywa maji mengi.

Mwisho, ni kufanya mazoezi ya kuimarisha misuli ya mgongo na kuzuia oesteophytes kuota kwenye pingili za mgongo.

Tatizo likizidi, nenda hospital.
 
Pole kwa tatizo ulilonalo.
Kwa kuwa chanzo cha tatizo unakijua, anza kwa kuacha kubeba vitu vizito.

Pili, kwa muda ambao hulazimiki kukaa, lala chali sehemu ngumu tambarare kuondoa mgandamizo kwenye disc za pingili za mgongo zilizoumia ili zipate muda wa ku-recover angalau kwa uchache.

Tatu, kula vyakula vyenye vitamin B au nunua vitamin B Complex ambayo itachochea utengenezwaji wa chembe hai mpya kwa wingi, chache zitakuwa hizo za sehemu iliyoumia. Muhimu, ule mlo kamili(Balanced diet) ili upate virutubisho vingine vinavyohitajika mwilini, bila kusahau kunywa maji mengi.

Mwisho, ni kufanya mazoezi ya kuimarisha misuli ya mgongo na kuzuia oesteophytes kuota kwenye pingili za mgongo.

Tatizo likizidi, nenda hospital.
Asante
 
Tuko pamoja mkuu. Naeleza hayo kutokana na uzoefu wa kulala miaka mitatu na miezi sita kitandani hadi nilipoanza kukaa kama kawaida, maana mwanzoni, pingili za mgongo zilishindwa kuubeba uzito wa mwili, japokuwa mimi si mnene. Nilikuwa nafanya kazi nikiwa nimelala kitandani. Tatizo lilikuwa Intervertebral Disc Degeneration, lumber region. L4/L5 disc bulge indenting theca and lateral recesses.

Pia hakikisha godoro unalolalia ni gumu, la sivyo uwe unalala chini ukiwa chali.

Mwenzangu wa kike, alipooza kuanzia kiunoni kushuka chini, mara tu baada ya kujifungua, lakini pia alipona.
 
*Nashukuru acha kubeba vitu vizito kwa Sasa.
*Piga x-ray eneo husika kuweza kujua eneo hasa lenye tatizo.
*Fanya vipimo overall hasa Figo na mfumo mzima wa mkojo.
*Kwa Sasa tumia Mwani, bamia na nopal kwa wingi, na lishe sahihi.
*Jiepushe na ulaji wa vyakula vinavyotokana na wanyama na ndege ikilazimika tumia kidogo pamoja na mbogamboga na matunda kadiri unavyoweza. Pia epukavyakula vyenye sukari nyingi kama keki n.k
*Pendelea na mazoezi, tupe mrejesho wa vipimo tukushauri zaidi, get well soon.
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana
Tumia mti unaitwa mtambaa ulizia kariakoo kule
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana

Pole sana mdau. Kutokana na maelezo yako, inaonekana maumivu ya kiuno yako yamesababishwa na mgandamizo wa mishipa (nerve compression) kutokana na kubeba vitu vizito. Hali hii mara nyingi hupelekea maumivu makali ya kiuno, maumivu kusambaa miguuni au hata kupunguza nguvu za kiume kwa sababu mishipa inayohusiana na hisia pia huathirika.

👉 Ushauri wa haraka:

Pumzisha mwili, epuka kubeba mizigo mizito kwa sasa.
Fanya zoezi za mgongo (physiotherapy exercises) kama "stretching" na kuogelea, ambazo husaidia kupunguza shinikizo kwenye pingili za uti wa mgongo.

Tumia maji ya moto/kitambaa cha moto kukanda sehemu ya kiuno.

Dawa za maumivu unaweza kutumia kwa muda mfupi (kwa ushauri wa daktari).

Kwa kuwa tayari umepata madhara (kukosa hisia), ni vyema kabisa ukamwone Orthopedic doctor au Neurosurgeon kwa uchunguzi zaidi, kwani tatizo linaweza kuwa kwenye pingili za mgongo (slipped disc) au mishipa kubanwa.

Kukimbilia “dawa za kuongeza nguvu” bila kushughulikia tatizo la msingi haita kusaidia, kwani chanzo ni mishipa iliyobanwa – ikitibiwa, nguvu zako zitarudi kawaida.

Iwapo unahitaji vipimo ushauri na kumuona dokta bure
Unaweza kuwasiliana nasi
+255 718 958 410 / +255 626 908 654
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 nasumbukiwa na maumivu ya kiuno sana mpaka yanapelekea nakosa hisia kwa shemeji naombeni dawa zakunisaidia kwani,
CHANZO ni mgandamizo uliosababishwa na kubeba vitu vizito
Asanteni sana
Nenda hospital kitengo cha mifupa watakufanyia vipimo( X RAY or MRI). Vipimo vitaamua ufanye physiotherapy au surgery
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom