Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,346
- 10,220
Hii ni dawa ya Malaria niliyozoea kuitumia kuponya malaria miaka ya hapo nyuma, sikutumia dawa yoyote ya Malaria toka mwaka 2017 mpaka leo hii nimeugua Malaria.
Kwa sasa naona dawa hii inapendekezwa kwa wanawake wajawazito ili kuwa kinga tu kipindi cha ujauzito na si kama tiba.
Je, dawa hii inafaa kutumika na mtu wa jinsia yoyote ambaye hayupo allergic na dawa hii bila madhara yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa naona dawa hii inapendekezwa kwa wanawake wajawazito ili kuwa kinga tu kipindi cha ujauzito na si kama tiba.
Je, dawa hii inafaa kutumika na mtu wa jinsia yoyote ambaye hayupo allergic na dawa hii bila madhara yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app