Dawa ya majangili(poachers) imewasili nchini

Dawa ya majangili(poachers) imewasili nchini

Wanacheza hawa, hawa jamaa ni zaidi ya makomandoo wetu, kwanza tujiulize wanapita wapi kusafirisha ngozi,pembe,meno,pembe wakati mipakavyetu ina ulinzi wa kuaminika, na cha ajabu zaidi wanapita kwenye airport zetu zilizojaa ulinzi wa aina zote, mbwa,usalama wa taifa, polisi,wanajeshi,mgambo, camera,tra,uhamiaji, wengine jazia sasavndio huyu mtu mmoja,bado kamanda tosi yupo pia
 
Wanacheza hawa, hawa jamaa ni zaidi ya makomandoo wetu, kwanza tujiulize wanapita wapi kusafirisha ngozi,pembe,meno,pembe wakati mipakavyetu ina ulinzi wa kuaminika, na cha ajabu zaidi wanapita kwenye airport zetu zilizojaa ulinzi wa aina zote, mbwa,usalama wa taifa, polisi,wanajeshi,mgambo, camera,tra,uhamiaji, wengine jazia sasavndio huyu mtu mmoja,bado kamanda tosi yupo pia

Hii reaction yako "condition" zikoje??!!
Status ya reagents ni ile ya wakati wa au ile iliyoandikwa kiwandani???!!
 
I see the battle to save jumbos and other wildlife is taking political trend and some people are taking a cheap popularity, i don't see any viability of what she want to do beyond media reports.

However, if i was to advise her, i will humbly request her to start massive campaign in the source markets of the wildlife products starting from USA, China, Vietnam etc.

If no market for wildlife products no poaching!:A S confused:

A war with multiple fronts. . . . . . . .
 
Back
Top Bottom