Dawa ya Madagascar-Covidal bado inafanyiwa majaribio tu?

Dawa ya Madagascar-Covidal bado inafanyiwa majaribio tu?

fasiliteta

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
2,598
Reaction score
4,472
Habari wakuu, niende kwenye mada husika.

Imepita week sasa tangu Waziri wa mambo ya nje kuileta nchini Dawa inayosadikika kutibu Covid-19 toka Madagascar na kisha kutangaza kuifanyia test kwanza kabla ya kuitumia.

Sisi kama wananchi wa kawaida, tuliipokea tofauti maneno ya Mh. Rais JPM alivyotutangazia kwenda kuifata dawa hyo madagascar ije kutumika, kiasi watu wengi walipost jambo hilo alilolisema Rais na kisha kusubiri kwa hamu kuletwa hiyo dawa.

Dawa hii kweli iliingizwa kama alovyoagiza Rais japo sasa ikawa tofauti kwa mujibu wa waziri wa mambo ya nje Prof.Kabudi na hakika maneno yake yalikua kama msumari ndan ya moyo kwa watu wengi, ila subra huvuta kheri watu wakaamua kusubiri huku wakitegemea matokeo yake kutoka kwa haraka ukizingatia imefanyiwa majaribio Madagascar na hawakuonyesha hata lepe la wasiwasi pale walipo ikabizi kwa Nchi zilizohitaji.

Tunajua NIMR wanafanya kazi kubwa wakishirikiana na wataalamu wengine ktk kuithibitisha hyo dawa,lakini uharaka wahitajika zaid kama walivyofanikiwa kuipitisha ile dawa yao waliyoitengeneza kwa mchanganyik wa vitu mbalimbali.

Ni wazi kwa sasa watu wengi wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi mkubwa kiasi hata kushindwa kupata usingizi kwa hofu ya corona huku wakishindwa kung'amua kama wameambukizwa ama laa. Kumbuka Watanzania wengi wanaishi na magonjwa mbali mbali hasa ya vifua n.k na hii Covid ina dalili nyingi mfanano wake, kiasi hata wengi wakienda hospital na kuambiwa hawaumwi basi huendelea kuamini vipimo ndo havijaonyesha ila ye ana hilo gonjwa. Kupatikana kwa hyo dawa kuta ondoa yote haya. Na kama haionyeshi kutibu basi wafahamishwe pia.

Asante
 
Ikiwa tayari watakuja na kutwambia. Vitu vizuri havihitaji haraka. Asante kwa kuelewa

Maendeleo yana vyama
 
Nafikiri ishachacha saizi. Itamwagwa kimya kimya.
 
Habari wakuu,Niende kwenye mada husika.

Imepita week sasa tangu Waziri wa mambo ya nje kuileta nchini Dawa inayosadikika kutibu Covid-19 toka Madagascar na kisha kutangaza kuifanyia test kwanza kabla ya kuitumia.

Sisi kama wananchi wa kawaida, tuliipokea tofauti maneno ya Mh. Rais JPM alivyotutangazia kwenda kuifata dawa hyo madagascar ije kutumika,kiasi watu wengi walipost jambo hilo alilolisema Rais na kisha kusubiri kwa hamu kuletwa hiyo dawa.

Dawa hii kweli iliingizwa kama alovyoagiza Rais japo sasa ikawa tofauti kwa mujibu wa waziri wa mambo ya nje Prof.Kabudi na hakika maneno yake yalikua kama msumari ndan ya moyo kwa watu wengi, ila subra huvuta kheri watu wakaamua kusubiri huku wakitegemea matokeo yake kutoka kwa haraka ukizingatia imefanyiwa majaribio madagascar na hawakuonyesha hata lepe la wasiwasi pale walipo ikabizi kwa Nchi zilizohitaji.

Tunajua NIMR wanafanya kazi kubwa wakishirikiana na wataalamu wengine ktk kuithibitisha hyo dawa,lakini uharaka wahitajika zaid kama walivyofanikiwa kuipitisha ile dawa yao waliyoitengeneza kwa mchanganyik wa vitu mbalimbali.

Ni wazi kwa sasa watu wengi wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi mkubwa kiasi hata kushindwa kupata usingizi kwa hofu ya corona huku wakishindwa kung'amua kama wameambukizwa ama laa.Kumbuka Watz wengi wanaishi na magonjwa mbali mbali hasa ya vifua n.k na hii Covid ina dalili nyingi mfanano wake,kiasi hata wengi wakienda hospital na kuambiwa hawaumwi basi huendelea kuamini vipimo ndo havijaonyesha ila ye ana hilo gonjwa.Kupatikana kwa hyo dawa kuta ondoa yote haya.Na kama haionyeshi kutibu basi wafahamishwe pia.

Asante
Za kwako, changanya na za mwenzako! Unadhani kwa nini vyuo vimeshafunguliwa? Umeusikia ujumbe wa WHO kwa Madagascar?
Kuna watu huko duniani bado wapo kwenye maabara wanafanya utafiti wapate dawa yao ili wafanye Biashara. Sasa Madagascar naye afanye biashara hiyo amekuwa kama nani? Nani kamruhusu?
 
Habari wakuu,Niende kwenye mada husika.

Imepita week sasa tangu Waziri wa mambo ya nje kuileta nchini Dawa inayosadikika kutibu Covid-19 toka Madagascar na kisha kutangaza kuifanyia test kwanza kabla ya kuitumia.

Sisi kama wananchi wa kawaida, tuliipokea tofauti maneno ya Mh. Rais JPM alivyotutangazia kwenda kuifata dawa hyo madagascar ije kutumika,kiasi watu wengi walipost jambo hilo alilolisema Rais na kisha kusubiri kwa hamu kuletwa hiyo dawa.

Dawa hii kweli iliingizwa kama alovyoagiza Rais japo sasa ikawa tofauti kwa mujibu wa waziri wa mambo ya nje Prof.Kabudi na hakika maneno yake yalikua kama msumari ndan ya moyo kwa watu wengi, ila subra huvuta kheri watu wakaamua kusubiri huku wakitegemea matokeo yake kutoka kwa haraka ukizingatia imefanyiwa majaribio madagascar na hawakuonyesha hata lepe la wasiwasi pale walipo ikabizi kwa Nchi zilizohitaji.

Tunajua NIMR wanafanya kazi kubwa wakishirikiana na wataalamu wengine ktk kuithibitisha hyo dawa,lakini uharaka wahitajika zaid kama walivyofanikiwa kuipitisha ile dawa yao waliyoitengeneza kwa mchanganyik wa vitu mbalimbali.

Ni wazi kwa sasa watu wengi wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi mkubwa kiasi hata kushindwa kupata usingizi kwa hofu ya corona huku wakishindwa kung'amua kama wameambukizwa ama laa.Kumbuka Watz wengi wanaishi na magonjwa mbali mbali hasa ya vifua n.k na hii Covid ina dalili nyingi mfanano wake,kiasi hata wengi wakienda hospital na kuambiwa hawaumwi basi huendelea kuamini vipimo ndo havijaonyesha ila ye ana hilo gonjwa.Kupatikana kwa hyo dawa kuta ondoa yote haya.Na kama haionyeshi kutibu basi wafahamishwe pia.

Asante

Bado mkuu ndiyo maana hata jiji la Antananarivo limewekwa kwenye lockdown jana:

Madagascar imposes lockdown amid rise in COVID-19 cases

Ushahidi mwingine wa kuwa beberu katutangulia.

Kweli aliyetangulia katangulia.
 
Ninachojiuliza zaidi mbona Madagascar nao Corona imekuwa kubwa? Yani Kama Wana dawa kwanini haiwasaidii?
Habari wakuu,Niende kwenye mada husika.

Imepita week sasa tangu Waziri wa mambo ya nje kuileta nchini Dawa inayosadikika kutibu Covid-19 toka Madagascar na kisha kutangaza kuifanyia test kwanza kabla ya kuitumia.

Sisi kama wananchi wa kawaida, tuliipokea tofauti maneno ya Mh. Rais JPM alivyotutangazia kwenda kuifata dawa hyo madagascar ije kutumika,kiasi watu wengi walipost jambo hilo alilolisema Rais na kisha kusubiri kwa hamu kuletwa hiyo dawa.

Dawa hii kweli iliingizwa kama alovyoagiza Rais japo sasa ikawa tofauti kwa mujibu wa waziri wa mambo ya nje Prof.Kabudi na hakika maneno yake yalikua kama msumari ndan ya moyo kwa watu wengi, ila subra huvuta kheri watu wakaamua kusubiri huku wakitegemea matokeo yake kutoka kwa haraka ukizingatia imefanyiwa majaribio madagascar na hawakuonyesha hata lepe la wasiwasi pale walipo ikabizi kwa Nchi zilizohitaji.

Tunajua NIMR wanafanya kazi kubwa wakishirikiana na wataalamu wengine ktk kuithibitisha hyo dawa,lakini uharaka wahitajika zaid kama walivyofanikiwa kuipitisha ile dawa yao waliyoitengeneza kwa mchanganyik wa vitu mbalimbali.

Ni wazi kwa sasa watu wengi wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi mkubwa kiasi hata kushindwa kupata usingizi kwa hofu ya corona huku wakishindwa kung'amua kama wameambukizwa ama laa.Kumbuka Watz wengi wanaishi na magonjwa mbali mbali hasa ya vifua n.k na hii Covid ina dalili nyingi mfanano wake,kiasi hata wengi wakienda hospital na kuambiwa hawaumwi basi huendelea kuamini vipimo ndo havijaonyesha ila ye ana hilo gonjwa.Kupatikana kwa hyo dawa kuta ondoa yote haya.Na kama haionyeshi kutibu basi wafahamishwe pia.

Asante
 
Back
Top Bottom