Dawa ya kuzuia wezi

Dawa ya kuzuia wezi

Kakubi

Member
Joined
Apr 1, 2018
Posts
18
Reaction score
14
Ndg wanaJF, mwenzenu nimechoka kuvunjiwa na wezi kila wakati. Naomba mwenye kumjua mganga anyeweza kunipatia dawa ya kuzuia wezi kwenye biashara yangu, tafadhali njoo inbox unisaidie.
 
Nunua bunduki, kabla hujalala washa risasi mbili hewani kisha ukiamka usiku kwenda haja washa mbili tena hewani, asubuhi ukiamka muda wa kunawa uso wekaa na gobore lako kibarazani unalipaka mafuta taratibu. Ndani ya mwezi tu mtaa wenu unakuwa kama vatikan kwa amani
 
Nunua bunduki, kabla hujalala washa risasi mbili hewani kisha ukiamka usiku kwenda haja washa mbili tena hewani, asubuhi ukiamka muda wa kunawa uso wekaa na gobore lako kibarazani unalipaka mafuta taratibu. Ndani ya mwezi tu mtaa wenu unakuwa kama vatikan kwa amani
Mmm!
 
Nunua bunduki, kabla hujalala washa risasi mbili hewani kisha ukiamka usiku kwenda haja washa mbili tena hewani, asubuhi ukiamka muda wa kunawa uso wekaa na gobore lako kibarazani unalipaka mafuta taratibu. Ndani ya mwezi tu mtaa wenu unakuwa kama vatikan kwa amani
 
Dawa ni kutomiliki mali, mwizi hawezi kumuibia mtu masikini au fukara
 
Nunua bunduki, kabla hujalala washa risasi mbili hewani kisha ukiamka usiku kwenda haja washa mbili tena hewani, asubuhi ukiamka muda wa kunawa uso wekaa na gobore lako kibarazani unalipaka mafuta taratibu. Ndani ya mwezi tu mtaa wenu unakuwa kama vatikan kwa amani
Aiseee
 
Weka walinzi. Kuna kampuni nyingi za ulinzi siku hizi. Mganga atakutapeli tu.
 
Nunua bunduki, kabla hujalala washa risasi mbili hewani kisha ukiamka usiku kwenda haja washa mbili tena hewani, asubuhi ukiamka muda wa kunawa uso wekaa na gobore lako kibarazani unalipaka mafuta taratibu. Ndani ya mwezi tu mtaa wenu unakuwa kama vatikan kwa amani
Aisee nipo serious mwenye kufahamu atanisaidia, aje inbox
 
Ukimkamata mwizi mwinamishe hadharani,utaogopeka zaidi ya kituo cha polisi.
 
Penye ulinzi ndio penye uhalifu, ukiona sheria ujue kuna makosa

Hizi ndio dawa za wezi

1,acha kuwa na mazoea na watu unapoishi yaan usiwe na tabia za kuletaleta watu hom kwako mana anaekuibia hatoki mbali

2,anza kupiga Mkwara mfano sijaona bado wa kuiba nyumba hiyi

3,tengeneza wezi feki na ujifanye wamenasa hom kwako wakiwa wameiba na hawawezi kutoka kama wale waganga waigi zaji

4,kuwa huru usipende kujihami sana kana kwamba watu wakajua una miliki mali mingi hata kama una miliki jifanye huna umuhimu nazo
 
Back
Top Bottom