Dawa ya kuvimba kwa jicho

Dawa ya kuvimba kwa jicho

Lilian Gerald

Member
Joined
Dec 3, 2022
Posts
9
Reaction score
3
Habari za Muda huu wapendwa, naomba kujua nitumie Nini kuponya jicho lililovimba na linauma pia, nimeamka tu asubuhi nimejikuta hivyo ila nahisi ni kutokana na vumbi la siku mbili tatu zilizopita.

Naomba anayejua tiba yake anisaidie, Asante.
 
Habari za Muda huu wapendwa, naomba kujua nitumie Nini kuponya jicho lililovimba na linauma pia, nimeamka tu asubuhi nimejikuta hivyo ila nahisi ni kutokana na vumbi la siku mbili tatu zilizopita.

Naomba anayejua tiba yake anisaidie, Asante.
Rx
1) Dexamethasone + Neomycin eye drop
2) Tabs prednisolone, 20mg od x 5/7
3) Tabs ibuprofen 400mg tds x 3/7

Utarudi kunishukuru
 
Back
Top Bottom